Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Ndugu naomba kuuliza tu kuwa suala la Rais kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za wafanyakazi ni la lazima?
Waziri anayedeal na Utumishi wa umma mimi naona anatosha na si kumsumbua Rais, mnajua Rais kuhudhuria sherehe hizi ni gharama sana.
Waziri anayedeal na Utumishi wa umma mimi naona anatosha na si kumsumbua Rais, mnajua Rais kuhudhuria sherehe hizi ni gharama sana.