Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunahitaji katiba itakayozuia kuwepo na mtu ajiitaye Rais wa JMT. Bali ndani ya katiba tunahitaji Mfalme au Ceremonial President ili awe anatufungulia matawi ya makampuni yetu.
Historia inaonesha sisi tunaweza kujiongoza wenyewe.
Historia inaonesha sisi tunaweza kujiongoza wenyewe.