-1.Mwanamke unapokuwa na mwenzi wako hasa mbele ya marafikize tupunguze manjonjo jamani utamkuta mtu yuko na hawa shemejize na mpenziwe basi mara kaingiza ulimi sikioni mara kamtafuna ulimi yaani ili mradi atoe picha kuwa mpenzi wake anafaidi sana.
Hapo hapo dear umemaliza mimi iwa nakaa bar na jamaa angu mmoja anakinyumba kidogo iwa kinanikera balaa utakuta mala wanakumbatiana mara kinyumba ndogo kinachezea ikulu ya jamaa mara ulimi mara jamaa nae anaingiza mkono kwenye tiGo ya nyumba ndogo mimi nipo tu pembeni huu ni wizi mtupu manjonjo kibao sasa jamaa akisafiri mimi nikagongana maeneo na huyo binti si atanivulia sijui kwa nini watu wanashindwa kujiheshimu.
we nawe Fidel hata kuweka fullstop ama koma, yaani hapumui mtu! sasa akikuvulia utakataa?? sema tu ukweli!!!
Hahahaha umewahi ona mwanaume anakataa kitu?
Hata sehemu mtu anaambiwa wazi huyo kaathirika lakini wapi jamaa anakwenda tu na anamega nyie bana kama mna sumaku vile. Mkiamua kumegwa na mtu flani mtafanya juu chini mpaka muhusika anakumega.
Nina umri miaka 28, sijaoa. Rafiki zangu kadhaa wameoa, mmoja katimiza mwaka last month tulifanya anniversary yao. Ajabu ni kuwa mkewe amekuwa akinizoea sana mazoea yasiyofaa kwa mke wa mtu. Hivi karibuni nilivyoona amezidi nikaona nikidhi haja yake, katika sehemu na muda aliopanga mwenyewe. Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"
Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu! Na cha ajabu basi, mimi si kwamba ni mjuzi sana wa hiyo habari.
Naogopa kuoa!
kwa hao unawaowapitia labda wanaona hiyo ni cfa......
kwa hao unawaowapitia labda wanaona hiyo ni cfa......
Hapo hapo dear umemaliza mimi iwa nakaa bar na jamaa angu mmoja anakinyumba kidogo iwa kinanikera balaa utakuta mala wanakumbatiana mara kinyumba ndogo kinachezea ikulu ya jamaa mara ulimi mara jamaa nae anaingiza mkono kwenye tiGo ya nyumba ndogo mimi nipo tu pembeni huu ni wizi mtupu manjonjo kibao sasa jamaa akisafiri mimi nikagongana maeneo na huyo binti si atanivulia sijui kwa nini watu wanashindwa kujiheshimu.
Nina umri miaka 28, sijaoa. Rafiki zangu kadhaa wameoa, mmoja katimiza mwaka last month tulifanya anniversary yao. Ajabu ni kuwa mkewe amekuwa akinizoea sana mazoea yasiyofaa kwa mke wa mtu. Hivi karibuni nilivyoona amezidi nikaona nikidhi haja yake, katika sehemu na muda aliopanga mwenyewe. Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"
Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu! Na cha ajabu basi, mimi si kwamba ni mjuzi sana wa hiyo habari.
Naogopa kuoa!
..Wapendwa wote katika majina yenu hebu punguzeni jazba mbona mwamshambulia huyu bwana kwa kummega mke wa rafiki yake. Hivi kuna tatizo kubwa kiasi hicho jamani?? Kwani alipomega huyo demu ameondoka nayo? mi naona watu mmetawaliwa na ubinafsi na uchoyo uliopindukia. Bwana we huyo dada akijipendekeza mpe mambo tu yawezekana jamaa yake ameshindwa ku-perform na hakuna kuelezana si ndio malovee ya kibongo kila mmoja anaku na fundo lake akipata pa kuzimulia anasonga mbele?? Ndio mjiulize alimpenda kweli huyo mume aliyeolewa nae au alivutiwa na Harriers tu????mwasherati wee mwanahizaya wee.
----------------------
Nina umri miaka 28, sijaoa. Rafiki zangu kadhaa wameoa, mmoja katimiza mwaka last month tulifanya anniversary yao. Ajabu ni kuwa mkewe amekuwa akinizoea sana mazoea yasiyofaa kwa mke wa mtu. Hivi karibuni nilivyoona amezidi nikaona nikidhi haja yake, katika sehemu na muda aliopanga mwenyewe. Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"
Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu! Na cha ajabu basi, mimi si kwamba ni mjuzi sana wa hiyo habari.
Naogopa kuoa!
Mtu B, naamini mlikumbuka kutumia kinga😉.
Sasa bila huyo rafiki yako kujifunza si huyo 'shemeji' yako ataendelea kumegwa hovyo tu na mabazazi wengine? Jaribu kumwokoa rafiki yako kama bado unampenda maana kwa trend hiyo ya huyo mkewe, mtawazika muda si mrefu. Mashauri ajifunze kuhusu wanawake na namna ya kuwatendea 'chumbani' na 'sebuleni' huenda ikaokoa maisha yake.
Mtu B,
Hivi kesho yake ulipoonana na rafiki yako ulimudu kumsalimia au ulifanyaje mkuu?
Hii ungeiweka kwenye udaku, maana imekaa kidaku. Mlifanya anniversary yao last month kutokana na maelezo yako hapo juu kwa mujibu wa madai yako ulikidhi haja zenu (maana c yake kwa sababu na wewe ulishiriki) baada ya kufanya hiyo anniversary. Wenzako walishaoa kitambo, kabla ya hili tukio mbona we ulikuwa bado haujaoa?
Nilikuwa bado sijaoa kabla ya hii tukio, lakini baada ya hii tukio nimeingiwa woga zaidi
Hii tukio siyo peke yake imenifanya nisioe, lakini imenitia hofu zaidiJe ni hili tukio 2 ndilo lililosababisha wewe husiowe au umetaka 2 kuwadhalilisha wanawake.
Nilikuwa nimeshafanya jitihada za kukataa kwa miezi kadhaa, hadi hapo siku hiyo nilipozidiwa.Mbona wewe haukukataa.
Halafu eti unajidai kidume, kwamba alikusifia wewe unaua kuliko mume wake. Uzushi!!!!!
nyamayao unajua hapa kuna mambo mengi yanachangia ila nadhani lawama zinafaa ziende pande zote mbili. Ingawa kiini cha yote hayo ni mwanamke kwa sababu yeye ndiye mwenye uwezo na kauli ya mwisho ya kusema YES au NO ili uovu huo utendeke. Kuna vitu vingi vinachangia but mimi ninaona hivi (na ninakubali kukosolewa!)
-1.Mwanamke unapokuwa na mwenzi wako hasa mbele ya marafikize tupunguze manjonjo jamani
utamkuta mtu yuko na hawa shemejize na mpenziwe basi mara kaingiza ulimi sikioni mara kamtafuna ulimi yaani ili mradi atoe picha kuwa mpenzi wake anafaidi sana. Sasa hivi vinaweza kuwatia marafiki shetani wa wao pia kutamani kuenziwa kama vile japo mara moja (ingawa wanatakiwa kujizuia) ndiposa mtu anaanza kumtongoza mke/ demu wa rafikiye ili tu aonje pepo apowayo mwenzie.
-Pia tunapoonyesha sana manjonjo mbele ya hao mashemeji wengine hutafsiri kuwa unamkaribisha kiaina so anapata nguvu ya kukutokea.
2. Tujaribu kuweka distance kati yetu na mashemeji (na userious flani) hivi kwani shemeji akiona unamchekea chekea hata kama ni kwa nia njema basi yeye ashakuteremsha kivazi. Ukiwa na distance na userious flani ni wazi kuwa hata ile wazo la kufikiria kujaribu kukutongoza halitakuwepo.
Where are our manners? je wazazi wetu nao zama hizo walikuwa wakifanya haya? kama hapana ni kwa nini?
Nina umri miaka 28, sijaoa. Rafiki zangu kadhaa wameoa, mmoja katimiza mwaka last month tulifanya anniversary yao. Ajabu ni kuwa mkewe amekuwa akinizoea sana mazoea yasiyofaa kwa mke wa mtu. Hivi karibuni nilivyoona amezidi nikaona nikidhi haja yake, katika sehemu na muda aliopanga mwenyewe. Nilishangaa sana! Baada ya kitendo kile akawa ananiuliza "wewe unafanyaje inakuwa tamu hivi jamani! Mfundishe basi rafiki yako, unajua mimi sipendi tabia tuliyofanya lakini basi tu!"
Nilichoshangaa ni kuwa, hii ni akili ya vipi? Yaani anadhani naweza kumfundisha mumewe hiko kitu! Na cha ajabu basi, mimi si kwamba ni mjuzi sana wa hiyo habari.
Naogopa kuoa!
Mpaka hapo uko uko sahihi kabisa. Lawama nyingi zimwendee mwanamke.
Hapa ndipo unapoanza kukosea. Unapotumia neno "hasa" una maana gani? Una maana huyo mwanamke apunguze manjonjo tu awapo mbele ya marafiki wa mwanamme wake na akiwa mbele ya wanaume wengine it's okay? Wrong! Inatakiwa aache, sio apunguze, aache hayo manjonjo mbele wa mwanamme yeyote zaidi ya mumewe. Vivyo hivyo, mwanamme naye anatakiwa aache "manjonjo" yake mbele ya wanawake wengine wawe marafiki si marafiki wa mkewe. Anatakiwa aache hayo unayoyaita "manjonjo". Kama wote hamuwezi kuacha basi hamkuwa tayari kuishi maisha ya ndo in the first place na ndoa yenu tayari iko doomed kabla hata hamjaifunga.
Kama couple wako comfortable na PDA sioni kwa nini wajizuie kufanya hivyo. Heck...si uhusiano wao bana? Sasa mwanamke kwa ujumla huwezi kabisa kumzuia mtu kukutongoza. Ila kama uko mwanamke mwenye maadili mazuri na unamheshimu mumeo, kwanza, utaji-carry kwa heshima na utakuwa na aura flani kwamba you don't play that na watu wakikuangalia tu mara nyingi wata sense kitu kama hicho. Pili, ikitokea umetongozwa na mtu wakati uko mke wa mtu unatakiwa umwambie huyo akutongozae kwamba umeolewa. Mwambie kwa heshima tu na wala sio kwa hamaki. Sio unam entertain huyo akutongozaye. Kwa nini um-entertain mwanamme mwingine wakati uko mke wa mtu? Huko ni kumdharau na kumdhalilisha mwenzi wako.
Wewe huwezi kuzuia jinsi matendo yako kwa mumeo yanavyopokelewa na watu wengine. Usijali jinsi watu wengine watakavyoyapokea au kuyatafsiri. Inapotokea unatokewa na jamaa kataa. Mwambie umeolewa na unampenda mumeo na kamwe hata siku moja hutafanya kitu kama hicho. Kataa katakata. Kwa nini uanze kuichekea chekea hiyo njemba ingine. Why? Si uko mke wa mtu? Basi kama ni hivyo mpende na mheshimu mumeo na yeye anatakiwa afanye vivyo hivyo kwako.
Sio tujaribu. Ni kwamba ni lazima uweke umbali kati yako na mashemeji zako na wanaume wengine zaidi ya mumeo. Lazima mheshimiane na shemeji yako/zako. Kama shemeji yako anakutongoza na wewe unakubali basi wewe ndio mjinga na mdhaifu zaidi kuliko hata alivyo huyo shemeji yako kwa sababu you should know better.
Haya mambo yalikuwepo tokea enzi na enzi na yatakuwepo kadri uhai wa mwanadamu utavyoendelea kuwepo. Hakuna cha ajabu hapo.
Asee Mtu B kwangu wala usikanyage