mwita burure
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 192
- 39
Uwiiiiiiii Huyo jamaa alikuwa shida shule gani alisomaYani umesoma private toka shule ya msingi alafu una E flat,umepoteza hela za mzee wako
Uwiiiiiiii Huyo jamaa alikuwa shida shule gani alisomaYani umesoma private toka shule ya msingi alafu una E flat,umepoteza hela za mzee wako
kaka mambo yamebadirika siku hizi yamekuwa magumu fikiria D mbili ilivyokuwa adimu kuipataHGL yaani unapata E flat maajabuuu wakat enzi zetu tulikuwa tunawaita Lori la chuo hao lazima waende 2