Kwani lazima application nifanye TCU?

Kwani lazima application nifanye TCU?

sam97

Member
Joined
Feb 27, 2016
Posts
97
Reaction score
14
Jamani naomba msaada mimi nimepata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila TCU?

Kama naweza, inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu hana hela sana toka naanza chekechea hadi advance nimesoma private so sizani kama atashidwa hiyo hela yakufanya application bila TCU
 
Jamani naomba msaada mm nimpata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila tcu na kama naweza inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu hana hela sana toka naanza chekechea hadi advance nimesoma private so sizani kama hata shidwa hiyo hela yakufanya apllicatuion bila tcu
Kama ana mipesa kasome Oxford University huko new York
 
Jamani naomba msaada mm nimpata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila tcu na kama naweza inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu hana hela sana toka naanza chekechea hadi advance nimesoma private so sizani kama hata shidwa hiyo hela yakufanya apllicatuion bila tcu
Mkuu huna vigezo vya kusoma shahada labda ujaribu stashahada na sijui kama NACTE wamesha anza au kufunga!
 
Jamani naomba msaada mm nimpata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila tcu na kama naweza inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu hana hela sana toka naanza chekechea hadi advance nimesoma private so sizani kama hata shidwa hiyo hela yakufanya apllicatuion bila tcu
Kiswahili chako kinahitaji ukifanyie kazi ya ziada. Kama una hela kwa Tanzania haita saidia tafuta vyuo vya nje ambavyo wanaweza kuchukua mtu mwenye ufaulu wako.
 
Nenda kasome nje ya nchi, ila hapa bongo utoweza kuapply degree bila kupitia TCU/NACTE.
 
Omba diploma DPTE, then hakikisha unapata wastani mzuri wa 3.5GPA ili upate sifa ya ku apply chuo
 
Otherwise kwa huu walaka wa hivi karibuni wa TCU huwezi Pata nafasi......
 
Huna sifa usipoteze pesa na muda wako bure.
Asipoteze mara ngapi mkuu,ameshapoteza huyo kwa maana huwezi soma private toka chekechea hadi kidato cha sita ukashindwa kuandika kiswahili vizuri na kupata matokeo mabovu kiasi hicho tena mchepuo wa HGL.
 
Ni mabadiliko tu Mkuu ktk kuboresha elimu yetu

E flat maana yake 3.15 sasa ukisema aende chuo du itakuwa elimu ya mwendo kasi
 
Jamani naomba msaada mimi nimepata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila TCU?

Kama naweza, inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu hana hela sana toka naanza chekechea hadi advance nimesoma private so sizani kama atashidwa hiyo hela yakufanya application bila TCU
Pole na hakunaga tena hiyo kitu, minimum Bachelor Degree zote ni 4 pts na lazima ipitie TCU vinginevyo usihangaike jaribu Dip. tu.
 
Tatizo ni HGL,kama ungekuwa umesoma science ni mara mia ukasome diploma ya pharmacy au mionzi kuliko ukasome degree ya nini sijui kesho uhangaike na ajira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom