Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

Uzuri wa JF unaweza kupinga hoja fulani kwa ID hii,ukaenda kuikubali kwa ID nyingine.....i mean unaweza kuta mleta mada yuko na ID yake nyingine anashinda kule love connect kutafuta mwanaume yoyote mwenye 'em bii o o'
Kutafuta mwanaume kwa internet? Kwan ninapoishi hakuna wanaume mpk utafute watu wa internet wnywe hawajulijan km ni watu kweli au mazombi 😂
 
Wewe tukana mamba, wenzio wanaiendea ndoa kwa mganga shauri yako, muhimu ubakize maneno maana kuna siku utarudi hapa kutafuta mme.
tapatalk_1575660125663.jpeg
 
Mwanamke akiwa ameolewa inamuongezea HESHIMA...Ebu fikiria upo above 30 bado unakaa kwenu hauoni aibu m/ke?
Vipi kama una kipato chako na unajitegemea?
Wakati mwingine kuolewa kunamdhalilisha mwanamke.

Kwa mfano, aliyeolewa na mwanaume malaya ambaye anatembea na majirani, wasichana wa kazi hadi ndugu.... Kazalisha mtaani wanawake wawili watatu..

Aliyeolewa na mwanaume mnyanyasaji..

Aliyeolewa na mwanaume mpigaji, Kupigwa hadi kuzimia, kupata majeraha, kupata kilema au kufa kabisa....

Mleta mada anamaanisha kwamba mwanamke asijione kama nusu mtu kisa hajaolewa..
 
heshima kubwa ya mwanamke ni ndoa bt heshima kubwa ya mwanaume ni pesa...
muda huo alokwambia ukikufika ndo utajua alimaanisha nini
 
Kumbe wewe Bado ni mwanafunzi?😜😜😜

Fikiria kusoma kwanza achana na mambo ya kuolewa
 
Unajuaje labda sitokuwa km yeye. Kla mtu ana destiny yke
Yes wapo watu ambao hawajaolewa na wanasonga na maisha.
Its possible jipange ivyo but uwe firm on what you stand for maana loneliness nayo sometimes unaweza jihisi kiumbe tofauti hatiamae ukaanza kudanga na uku umri umeenda utakuwa kituko
 
Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi.

Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa nayo.

Mimi naishi na dada mmoja tuasoma chuo kimoja ni roommate wangu. Ila yeye ni doctoral student mwaka wa pili. Ni raia wa marekani. Ni mtu mzuri ila kama hayuko sawa kisa mpk sasa ana miaka 31 hajaolewa. Hapa chuo kunakuwa na seminars mbali mbali basi kila seminar anaenda ati anaweza kupata mume hko kwa wiki anaenda km seminar tano au nne. Hatulii sehem moja. Haijalishi inafanyika wapi yeye huyoo anaenda hadi mama yke anampigia simu ati "uende unaweza ukapata mume hko. Tena ukienda uwe smart na ujirembe"

Kuna siku nime muuuliza kwann ameweka sana kwa kichwa chake habar ya kuolewa akanijibu " wewe Subiri ufike umri kama wangu halafu uwe hujaolewa utajua" LOL

Kuna siku alinilazimisha tuende wote nikaenda baada ya hapo sikuenda tena kwasababu sio mambo naendana nayo. mimi nani seminar nani? Vitu vi2 tofauti. Hatuendani mimi niliona hakuna kitu cha maana kinafanyika hko. Wanaongea tu kisha wamemaliza tukaondoka hazina hata umuhimu kupoteza muda tu.

Hv kna haja ya mtu kujistress kisa huolewi? Mimi naona kama ni ujinga kujistress na kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako, maisha yenyewe mafupi haya btw mimi mwenyewe nategemea nikifika miaka 25 niwe na familia yangu lakini hata kama itatokea nikifika miaka 30 bla kuolewa siwezi kujistress hata kidogo.
Dada na shida na wewe muhimu,
 
Back
Top Bottom