my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
- Thread starter
- #21
Mimi siwezi kufika umri wake bila kuolewa na hta kama nikifika siwezi kuwa stressed.Alikujibu vizuri kuwa subiri ufike umri alionao utaona
Mimi siwezi kufika umri wake bila kuolewa na hta kama nikifika siwezi kuwa stressed.Alikujibu vizuri kuwa subiri ufike umri alionao utaona
Kutafuta mwanaume kwa internet? Kwan ninapoishi hakuna wanaume mpk utafute watu wa internet wnywe hawajulijan km ni watu kweli au mazombi 😂Uzuri wa JF unaweza kupinga hoja fulani kwa ID hii,ukaenda kuikubali kwa ID nyingine.....i mean unaweza kuta mleta mada yuko na ID yake nyingine anashinda kule love connect kutafuta mwanaume yoyote mwenye 'em bii o o'
Kwan wasioolewa hawasex?
Daa hii picha !!!!Wewe tukana mamba, wenzio wanaiendea ndoa kwa mganga shauri yako, muhimu ubakize maneno maana kuna siku utarudi hapa kutafuta mme.View attachment 1284143
Unajuaje labda sitokuwa km yeye. Kla mtu ana destiny ykeNgoja ukikuwa ndo utaona na kuelewa vyema asemacho room mate wako
Mbona watu weng wanasex na hawajaolewa au kuoa? Wewe unaishi jupiter nn?Sasa utasex na nan?
Ukitaka sex labda uwe changudoa tu ijulikane moja.
Mbona watu weng wanasex na hawajaolewa au kuoa? Wewe unaishi jupiter nn?
Vipi kama una kipato chako na unajitegemea?Mwanamke akiwa ameolewa inamuongezea HESHIMA...Ebu fikiria upo above 30 bado unakaa kwenu hauoni aibu m/ke?
What's nungayembe?Kuonekana NUNGAYEMBE kwa JAMII.
What's nungayembe?
Inawezekana pia amemuendea kwa mganga mume wake ili amtulize Aache umalaya na ahudumie familia.Wewe tukana mamba, wenzio wanaiendea ndoa kwa mganga shauri yako, muhimu ubakize maneno maana kuna siku utarudi hapa kutafuta mme.View attachment 1284143
Yes wapo watu ambao hawajaolewa na wanasonga na maisha.Unajuaje labda sitokuwa km yeye. Kla mtu ana destiny yke
Dada na shida na wewe muhimu,Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi.
Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa nayo.
Mimi naishi na dada mmoja tuasoma chuo kimoja ni roommate wangu. Ila yeye ni doctoral student mwaka wa pili. Ni raia wa marekani. Ni mtu mzuri ila kama hayuko sawa kisa mpk sasa ana miaka 31 hajaolewa. Hapa chuo kunakuwa na seminars mbali mbali basi kila seminar anaenda ati anaweza kupata mume hkokwa wiki anaenda km seminar tano au nne. Hatulii sehem moja. Haijalishi inafanyika wapi yeye huyoo anaenda
hadi mama yke anampigia simu ati "uende unaweza ukapata mume hko. Tena ukienda uwe smart na ujirembe"
![]()
Kuna siku nime muuuliza kwann ameweka sana kwa kichwa chake habar ya kuolewa akanijibu " wewe Subiri ufike umri kama wangu halafu uwe hujaolewa utajua" LOL
Kuna siku alinilazimisha tuende wote nikaenda baada ya hapo sikuenda tena kwasababu sio mambo naendana nayo. mimi nani seminar nani? Vitu vi2 tofauti. Hatuendanimimi niliona hakuna kitu cha maana kinafanyika hko. Wanaongea tu kisha wamemaliza tukaondoka
hazina hata umuhimu kupoteza muda tu.
Hv kna haja ya mtu kujistress kisa huolewi? Mimi naona kama ni ujinga kujistress na kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako, maisha yenyewe mafupi hayabtw mimi mwenyewe nategemea nikifika miaka 25 niwe na familia yangu lakini hata kama itatokea nikifika miaka 30 bla kuolewa siwezi kujistress hata kidogo.