Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi.

Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa nayo.

Mimi naishi na dada mmoja tuasoma chuo kimoja ni roommate wangu. Ila yeye ni doctoral student mwaka wa pili. Ni raia wa marekani. Ni mtu mzuri ila kama hayuko sawa kisa mpk sasa ana miaka 31 hajaolewa. Hapa chuo kunakuwa na seminars mbali mbali basi kila seminar anaenda ati anaweza kupata mume hko 😂 kwa wiki anaenda km seminar tano au nne. Hatulii sehem moja. Haijalishi inafanyika wapi yeye huyoo anaenda 😂 hadi mama yke anampigia simu ati "uende unaweza ukapata mume hko. Tena ukienda uwe smart na ujirembe" 😁

Kuna siku nime muuuliza kwann ameweka sana kwa kichwa chake habar ya kuolewa akanijibu " wewe Subiri ufike umri kama wangu halafu uwe hujaolewa utajua" LOL

Kuna siku alinilazimisha tuende wote nikaenda baada ya hapo sikuenda tena kwasababu sio mambo naendana nayo. mimi nani seminar nani? Vitu vi2 tofauti. Hatuendani 😂 mimi niliona hakuna kitu cha maana kinafanyika hko. Wanaongea tu kisha wamemaliza tukaondoka 😂 hazina hata umuhimu kupoteza muda tu.

Hv kna haja ya mtu kujistress kisa huolewi? Mimi naona kama ni ujinga kujistress na kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako, maisha yenyewe mafupi haya 😂 btw mimi mwenyewe nategemea nikifika miaka 25 niwe na familia yangu lakini hata kama itatokea nikifika miaka 30 bla kuolewa siwezi kujistress hata kidogo.
 
Hapa naandika hayupo toka jumatano ameenda kwa mkutano ati foreigners wote wanakutana 😂 alisema atarudi jana hakurud sijui ameshapata mume hko 🤣🤣🤣🤣😂
 
Uzuri wa JF unaweza kupinga hoja fulani kwa ID hii,ukaenda kuikubali kwa ID nyingine.....i mean unaweza kuta mleta mada yuko na ID yake nyingine anashinda kule love connect kutafuta mwanaume yoyote mwenye 'em bii o o'
 
Kila jambo ni 'Kubwa' na pia ni 'Dogo' katika maisha ya mtu.

Inategemea limepewa nafasi gani katika fikra zake.
Kweli kla mtu anaangalia tofauti ila sometimes mtu mpk anakuwa km tatizo mtu hawazi ktu kingine zaidi ya kuolewa. Mfano hyu roommate wangu ni doctoral student lakin sikumbuki nilimuona lini anasoma 😂kla siku kwa seminars.
 
Ukizeeka ndo utajua umuhmu wa mume, utakavyokuwa mpweke.. Mana kila m2 atakuwa busy na yake.. Unajikuta uko alone.. Pili kokote utakapokwenda, kama umri mkubwa na hujaolewa huwez kuthaminiwa hata kama una hela.
Mimi siwezi kuzeeka bila mume. Halaf kuwa alone inategemea na mind yko unavoiset
 
Back
Top Bottom