Wanasema yalianza na adamu na hawa au eva ina maana hata wao waliumizana,na walikua wawili au yaliletwa tujaze dunia na siyo kuyafurahia me sielewi maana imekua fujo uongo na kumizana au wenzangu kwenu ikoje me naona mizinguo tu kili sm kumi za marafiki zangu nane zote wanalalamikia kutendwa jamani vipi?