Kwani hakuna ofisi inayotaka mtu wa Community Development?

Kwani hakuna ofisi inayotaka mtu wa Community Development?

Hamisikh

Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
47
Reaction score
6
Hii elimu yetu sasa inaelekea pabaya. nina mchumba wangu baada ya kumaliza form four nikampeleka chua akasomea Community Development, cha ajabu tangu amalize masomo sasa ni mwaka wa 2 tumetafuta kazi hadi tumechoka. anaejua lolote anisaidie pliz
0785795889
 
Muendeleze apate digrii. Sehemu zenye uwekezaji mkubwa wanalazimishwa kuwa na corporate social responsibility programs, na wanawatumia sana hao watu. Angalia pia social welfare issues, zinamuhusu.
 
Usikate tamaa mzee. Ila ungempiga tafu kidoto shemeji ajiendeleze kitaaluma. Vipi volunteer hujajaribu?
 
Back
Top Bottom