Kwangu harufu ilikua ni kigezo namba moja

Kwangu harufu ilikua ni kigezo namba moja

Madam G

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
77
Reaction score
45
Salaam kwenu wana jamvi.

Kipindi hichoo nilivyokua bado kabinti hata sijajua kuvunja amri ile iloyokatazwa mpaka ndoa, kiukweli kigezo changu kikubwa angalau kunifanya nivutiwe na mwanaume ilikuwa na harufu nzuri mdomoni, yaani nilikuwa kama mjinga nitajitahidi niwezavyo mpaka nisikie mdomoni ananukia vizuri ama ananuka.

Yaani ikiwa atakuwa anaharufu mbaya basi hata asinisogelee,hiyo kitu imeendelea kwangu mpaka hata mume wangu enzi hivo ananifukuzia nilifanya jitahada mpaaka nikaskia anavyosmel.

Yeye hicho kigezo alikifaulu ndo maana mpaka sasa ni my husband na tuna mtoto mmoja mrembo na tunampenda sana, yaani kiukweli mpaka leo mtu yoyote awe mwanaume ama mwanamke nikishaskia harufu mbaya mdomoni huwa nakereka sana.

Tujitahidi sana kulipunguza hili tatizo kwa wenye nalo, najua wengi linawakera, mnisamehe niliowagusa.
 
Huyo mtoto mrembo ana miaka mingapi ?
 
kikubwa angalau kunifanya nivutiwe na mwanaume ilikua na harufu nzuri mdomoni

And I thought I had the most eccentric fetishes!

Harufu nzuri mdomoni ndo ikoje sasa?

Some pointers on maintaining fresh breath.....

Floss a couple times daily

Scrape your tongue first thing in the morning and around midday. If you don't have a tongue scraper you can just use a kijiko cha chai.

Brush your teeth, gums, the inside of your cheeks, and your palate.

Rinse with a strong mouthwash. I recommend the advanced Listerine Ultra Clean Arctic Mint.

Then finish off the process by rinsing with lukewarm water.

And throughout the day keep the mouth oxygenated by drinking water.

If you follow these steps you will mitigate the chances of your breath turning rancid quickly.
 
Ni kitu muhimu kama utawafundisha njia ya kuondoa harufu mdomoni
anaendeleaje uyo binti yako
 
Kwa mujibu wa hii story umetembea na mwanaume mmoja tu ambae ni mumeo....au zoezi la kuwanusa midomo wanaume linaendelea?

Halafu, hivi mtu unanusaje harufu ya mdomo wa mwingine?

If anything I always try not to smell people's odor of any kind by holding my breath because if there is something I can't stand, then foul odor is at the top of the list.
 
Hhhhhhaa mdomo,nyuchi,kikwapa hizo sehemu ni shidaaa kama zinatemaa aiseees?
 
Salaam kwenu wana
jamvi.

Kipindi hichoo nilivyokua bado kabinti hata sijajua kuvunja amri ile
iloyokatazwa mpaka ndoa, kiukweli kigezo changu kikubwa angalau
kunifanya nivutiwe na mwanaume ilikuwa na harufu nzuri mdomoni, yaani
nilikuwa kama mjinga nitajitahidi niwezavyo mpaka nisikie mdomoni
ananukia vizuri ama ananuka.

Yaani ikiwa atakuwa anaharufu mbaya basi hata asinisogelee,hiyo kitu
imeendelea kwangu mpaka hata mume wangu enzi hivo ananifukuzia nilifanya
jitahada mpaaka nikaskia anavyosmel.

Yeye hicho kigezo alikifaulu ndo maana mpaka sasa ni my husband na tuna
mtoto mmoja mrembo na tunampenda sana, yaani kiukweli mpaka leo mtu
yoyote awe mwanaume ama mwanamke nikishaskia harufu mbaya mdomoni huwa
nakereka sana.

Tujitahidi sana kulipunguza hili tatizo kwa wenye nalo, najua wengi
linawakera, mnisamehe niliowagusa.

ndio hasa wanaume mtu anaongea let say mko kwenye gari yaan harufu mbaya unahis kutapika.afu unakuta eti nae an gf????? mmmm sipatagi picha.
 
kama hutaki hata wakusogelee huko kuwasaidia inawezekana vipi sasa
 
And I thought I had the most eccentric fetishes!

Harufu nzuri mdomoni ndo ikoje sasa?

Some pointers on maintaining fresh breath.....

Floss a couple times daily

Scrape your tongue first thing in the morning and around midday. If you don't have a tongue scraper you can just use a kijiko cha chai.

Brush your teeth, gums, the inside of your cheeks, and your palate.

Rinse with a strong mouthwash. I recommend the advanced Listerine Ultra Clean Arctic Mint.

Then finish off the process by rinsing with lukewarm water.

And throughout the day keep the mouth oxygenated by drinking water.

If you follow these steps you will mitigate the chances of your breath turning rancid quickly.
Kijiko cha chai=teaspoon.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom