Kwakweli kuitawala Tanzania ni kazi nyepesi sana

Unalalamikia mengi yaliyokuwepo tayari zamani, naona wewe jipu linakuhusu. Bila hivyo ungekuwa umeshashika fagio unafanya usafi.

Halafu wewe uliye makini na muweza yote umelitendea nini Taifa lako na kuweza kujisigia kwa mwezi mmoja uliopita?

Mnataka Raisi aishi ka vile roboti au ana macho kila mnapokaa na kupafikilia.

Mtu anasaka pesa mambo yatendeke mnalalamika, sasa unasema mawaziri na ma naibu kwani kyna yoyote sasa hivi aliyeteuliwa au ulitaka kusema juu ya waliopita...maneno ni muhimu kueleweka.

Sikukuu za krisimasi zinakuja na kujongeza bei ni kawaida sema hamvigunduahi, na wanaoongeza wengine ni walikuwa hawalipi kodi na vya bure au mdandio ndio hivyo tena.

Khaaaa una kauchungu fulani zaidi juu ya Raisi, ila hata siku 100 hana hauchoki kumsema. Mtumie ujumbe aome kero zako, haya tufanye usafi nilikuwa nakunywa maji kidogo.

mkuu nipe mawazo yako ingekuwaje kama angewaita mawazir wa sekta husika na kuwahoji juu ya madudu hayo kama alivyosema mtoa mada
 
Mtowa mada upo wapi nikurushie soda kunamijitu ukomo wao darasa LA saba wataubishia Uzi huyu lakini ndio ukweli ulivyo
 
Mtowa mada upo wapi nikurushie soda kunamijitu ukomo wao darasa LA saba wataubishia Uzi huyu lakini ndio ukweli ulivyo

Mkuu nnakuomba ututake radhi kwa sisi tuliokwamia darasa la saba, baadhi yetu sio kama hao wafuata mkumbo(mashabiki) .Kuwa na elimu ya juu pia haimaanishi wote waliyo nayo kuwa wali-elimika, baadhi walikariri mkuu.
 
Kweli ni Rahisi kwakua kiongozi hakutani na upinzani wowote kutoka kwa wananchi au bunge ambalo linafuata upepo.

Safari za nje zilikua zinaliumiza Taifa walipokua wakiambiwa walipinga Leo zimezuiwa wanapiga makofi kama vile hawakuwemo kabla.
 
Kweli ni Rahisi kwakua kiongozi hakutani na upinzani wowote kutoka kwa wananchi au bunge ambalo linafuata upepo.

Safari za nje zilikua zinaliumiza Taifa walipokua wakiambiwa walipinga Leo zimezuiwa wanapiga makofi kama vile hawakuwemo kabla.


Kwa nini na wewe hukuchukua fomu ugombee uraisi? Au unasubiri 2020?
 
Mkuu nnakubaliana na wewe katika yote haya uliyo tiririka nayo lakini tuhoji kidogo, suala la muhimbili/ukwepaji kodi na mengine hapo lilikuwa ni suala la watendaji kwa ngazi za wizara kushuka kimamlaka kushuka chini.Raisi kuwa mtendaji/msimamizi kwa mambo ya ngazi za chini ni nini tafsiri yake kama tutapata raisi kama aliemaliza muda wake(Jakaya Kikwete)

Kama nimemwelewa mleta mada ni kuwa Watanzania huwa tunaridhika na vitu vya kawaida sana na kupuuzia vile vya muhimu, kwa mfano leo watu wanaimbishwa wimbo wa usafi usafi usafi usafi wakati demokrasia kwa ndugu zetu wa Zanzibar imeminywa kwa makusudio flani. Tunaimba wimbo wa usafi wakati hatuna katiba mpya inayotokana na wananchi. Tunaimbishwa wimbo wa usafi wakati shilingi yetu inazidi kushuka thamani...


Hata kama tunashangilia tuweke na akiba ya maneno.

Mtanzania Anapenda Kusoma Magezeti Mengi Ya Udaku Kwasababu Ni Mvivu Wa Kufikiri Anapenda Umbeya Akamwadithie Mwenzake Serikali Imekuwa Gazeti La Udaku
 
Wahenga walisema adui muombee njaa, lakini la pili na lipenda sana kuliko la kwanza " ukitaka kumtawala mwanadamu siku zote mnyime elimu bora"

Katika miaka hii ya 2015-2020 ndo miaka ambayo Tanzania ilipaswa kuionyesha dunia kwamba, inajitambua na inajielewa na imechoka kuendeshwa kwa matukio inataka mabadiliko ya kiuchumi na kimfumo.

Hasa tujirejea 2005 na mwanzoni kwa miaka ya 2006 ambapo kwa kile kilichoitwa kasi ya viwango! kuna watu walikimbia mahoteli yao na mabiashara makubwa wakihofia kuingia mikononi mwa Serikali ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya! Vikao vilikua haviishi ngurudoto vamia vamia maofisini zilikua ni tabu, lakini saivi Raisi huyohuyo kuna watu wanaomba anyang'anywe hati yake ya kusafiria! Amazing!

Magufuli tangu ameanza kazi Ana mwezi na siku kadhaa sasa, na kazi yake tunaiona tumeona hata waziri mkuu akitembea na vinondo alivyopewa na wafanyakazi wema wa bandari na TRA na yeye kuvamia hayo maeneo na kuwachukulia hatua mara moja wahusika walioorodheshwa kwenye nondo zake! Well and good..

Ninachojiuliza ni Waziri gani wa nchi hii au naibu wake (waliopita) katika secta yoyote kati ya zilizoonyesha ubadhilifu mkubwa ambaye hata kuitwa kutolea ufafanuzi wa kinachoendea ameitwa? Lakini mtanzania huyuhuyu aliyeongozwa kwa style hizihizi zaidi ya miaka 54 sasa amevurugwa kabisa kana kwamba kinachofanyika sasa sio wajibu wa kiongozi na anapokea mshahara wake!

Nini madhara ya sifa hizi ambazo mimi nikiangalia huko dodoma watoto zaidi ya 50% wanazaliwa na mtindio wa ubongo sijaona mikakati ya kiubunifu ya kuliokoa taifa, Zanzbar saivi utadhani sio sehemu ya muungano na huyuhuyu mpewa sifa tangu akae Magogoni hakawahi hata kutoa kauli! Madhara ya sifa ni kwamba mwanadamu mwenye uwezo wa kucheza na akili za watu ambao wengi tumenyimwa elimu bora, ataona adhma yake imetimia na sasa ananafasi kwenye nafsi hizi zilizopoteza mwelekeo, ataendelea na style hiyohiyo huku akifukia mambo ya msingi yanayo muhusu mtu katika maisha ya kila siku! Na mara nyingi style za namna hii hufanywa na watu ambao wana "lack of creativity"

Huko mbeya kuna watu bado wanapenda kujifungulia Zambia kwasababu ya ubovu wa Hospitali za taifa so shame!

Kila kukicha thamani ya shilingi inazidi kuporomoka na bidhaa zinapanda bei Magufuli alivyoingia Ikulu sado ya viazi ilikua 3500 saivi 5000 sioni mkakati wa kuliokoa taifa na huu mfumko wa bei ukiuliza utaambiwa bado mapema tunasahau kwamba, wafanyabiashara ni wajanja bei ikishazoeleka wanaifanya ya kudumu,

Hadi saivi anachokifanya Magufuli, Majaliwa na Sef ni kuikosoa serikali iliyopita hakuna hata kimoja cha kwao walichokifanya taifa kuwa mahala salama pa kuishi,

Hapa juzi tu tuliambiwa serikali inatoa ada elekezi kwa shule binafsi hii inaleta picha gani? Hii ni tafsiri kwamba hakuna ubunifu wowote wala maono yoyote ya mzazi juu ya namna gani ya kuifanya elimu ya Tz kuwa bora hasa kupitia shule za umma! Japo tena hao hao wamekanusha kuingilia shule binafsi! "Contradiction"

Kuna watu nikiandika post zangu badala ya kufikiri kwa kina wanakimbilia kusema nimetumwa! Shauri yenu ujinga mwingine huo, na kwa taarifa yenu mi ni mtanzania huru kabisa ninaye waza tu hatima ya nchi yangu

Hii nchi inasafari ndefu sana kwa watu makini kuanza kumsifia mwanadamu yeyote! Tusichokijua tz ni kwamba, wanasiasa ni werevu sana hutafuta jambo ambalo anajua akilifanya watu wanaowaza kirahisi rahisi atakua ameteka akili zao na kufukia hata yale ambayo ni mahitaji yao ya msingi bila wao kujua "Dont play with Politicians they know how to play with your minds"

mkuu sikubaliani na wewe kwa asilimia mia moja, ila upo sahihi kwenye baadhi ya mambo, kushangilia sasa hivi kua tanzania imepata mkombozi naona ni kujidanganya, mtu mmoja hawezi kua eti ndio mkombozi wa tanzania, japokua naona magufuli ni mzalendo na ana nia ya dhati kuiendeleza tanzania, tusijidanganye eti tumepata muarobaini
ukombozi unakuja kuanzia kwa watanzania wenyewe kujitambua na kufuatilia wanayofanya viongozi wao na kuwawajibisha na wenyewe pia kufanya kazi
mfumo mpya kabisa utakaokua na wa uwazi na uwajibishaji unahitajika, mimi naamini ili serikali ya nchi yoyote iwe inafanya kazi kwa ufanisi na uwajibikaji unahitaji upinzani imara wenye nguvu na wananchi wanaowafuatilia na kuwawajibisha kila upande
ukiona nchi ambayo wabunge wake walikutwa na kashafa nzito muda mchache kabla ya uchaguzi mkuu, na ikagundulika kabisa walikua na makosa kisha uchaguzi mkuu unafanyika alafu wale viongozi wanachaguliwa tena kuwawakilisha wananchi ukitafakari utaona ni nchi ambayo ipo mbaaali sana kufikia maendeleo ya kweli
kumtegemea magufuli kuibadilisha tanzania ni kama kumleta kocha wa kigeni na kutegemea kwamba ataifikisha taifa stars kombe la dunia
 
maajabu ya watanzania hata promotion ya peps kwa dar wanasema ni magufuli kashusha bei ya soda ndio maana Lowasa alisema kipaumbele chake ni elimu

haha haha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu hapa unichekesha kweli, kuna watu alafu ni wasomi wakubwa utawasikia wakisema magufuli ndio kashusha bei ya pepsi na vitu vyoten vitashuka bei, tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaa duh, basi tu
 
Wahenga walisema adui muombee njaa, lakini la pili na lipenda sana kuliko la kwanza " ukitaka kumtawala mwanadamu siku zote mnyime elimu bora"

Katika miaka hii ya 2015-2020 ndo miaka ambayo Tanzania ilipaswa kuionyesha dunia kwamba, inajitambua na inajielewa na imechoka kuendeshwa kwa matukio inataka mabadiliko ya kiuchumi na kimfumo.

Hasa tujirejea 2005 na mwanzoni kwa miaka ya 2006 ambapo kwa kile kilichoitwa kasi ya viwango! kuna watu walikimbia mahoteli yao na mabiashara makubwa wakihofia kuingia mikononi mwa Serikali ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya! Vikao vilikua haviishi ngurudoto vamia vamia maofisini zilikua ni tabu, lakini saivi Raisi huyohuyo kuna watu wanaomba anyang'anywe hati yake ya kusafiria! Amazing!

Magufuli tangu ameanza kazi Ana mwezi na siku kadhaa sasa, na kazi yake tunaiona tumeona hata waziri mkuu akitembea na vinondo alivyopewa na wafanyakazi wema wa bandari na TRA na yeye kuvamia hayo maeneo na kuwachukulia hatua mara moja wahusika walioorodheshwa kwenye nondo zake! Well and good..

Ninachojiuliza ni Waziri gani wa nchi hii au naibu wake (waliopita) katika secta yoyote kati ya zilizoonyesha ubadhilifu mkubwa ambaye hata kuitwa kutolea ufafanuzi wa kinachoendea ameitwa? Lakini mtanzania huyuhuyu aliyeongozwa kwa style hizihizi zaidi ya miaka 54 sasa amevurugwa kabisa kana kwamba kinachofanyika sasa sio wajibu wa kiongozi na anapokea mshahara wake!

Nini madhara ya sifa hizi ambazo mimi nikiangalia huko dodoma watoto zaidi ya 50% wanazaliwa na mtindio wa ubongo sijaona mikakati ya kiubunifu ya kuliokoa taifa, Zanzbar saivi utadhani sio sehemu ya muungano na huyuhuyu mpewa sifa tangu akae Magogoni hakawahi hata kutoa kauli! Madhara ya sifa ni kwamba mwanadamu mwenye uwezo wa kucheza na akili za watu ambao wengi tumenyimwa elimu bora, ataona adhma yake imetimia na sasa ananafasi kwenye nafsi hizi zilizopoteza mwelekeo, ataendelea na style hiyohiyo huku akifukia mambo ya msingi yanayo muhusu mtu katika maisha ya kila siku! Na mara nyingi style za namna hii hufanywa na watu ambao wana "lack of creativity"

Huko mbeya kuna watu bado wanapenda kujifungulia Zambia kwasababu ya ubovu wa Hospitali za taifa so shame!

Kila kukicha thamani ya shilingi inazidi kuporomoka na bidhaa zinapanda bei Magufuli alivyoingia Ikulu sado ya viazi ilikua 3500 saivi 5000 sioni mkakati wa kuliokoa taifa na huu mfumko wa bei ukiuliza utaambiwa bado mapema tunasahau kwamba, wafanyabiashara ni wajanja bei ikishazoeleka wanaifanya ya kudumu,

Hadi saivi anachokifanya Magufuli, Majaliwa na Sef ni kuikosoa serikali iliyopita hakuna hata kimoja cha kwao walichokifanya taifa kuwa mahala salama pa kuishi,

Hapa juzi tu tuliambiwa serikali inatoa ada elekezi kwa shule binafsi hii inaleta picha gani? Hii ni tafsiri kwamba hakuna ubunifu wowote wala maono yoyote ya mzazi juu ya namna gani ya kuifanya elimu ya Tz kuwa bora hasa kupitia shule za umma! Japo tena hao hao wamekanusha kuingilia shule binafsi! "Contradiction"

Kuna watu nikiandika post zangu badala ya kufikiri kwa kina wanakimbilia kusema nimetumwa! Shauri yenu ujinga mwingine huo, na kwa taarifa yenu mi ni mtanzania huru kabisa ninaye waza tu hatima ya nchi yangu

Hii nchi inasafari ndefu sana kwa watu makini kuanza kumsifia mwanadamu yeyote! Tusichokijua tz ni kwamba, wanasiasa ni werevu sana hutafuta jambo ambalo anajua akilifanya watu wanaowaza kirahisi rahisi atakua ameteka akili zao na kufukia hata yale ambayo ni mahitaji yao ya msingi bila wao kujua "Dont play with Politicians they know how to play with your minds"

Umenikatisha tamaa na Watanzania a.k.a Mazombie! Serikali iliwahi kufuta Matokeo ya Kidato cha Nne wakaongeza marks upya.Sikusikia hata Msomi au Professa yeyeto akikemea hili

Watz watu wakuombea.
 
mazuri tumpongeze , ila kuna mambo mengi ya kimfumo yanayohitaji mabadiliko mf.elimu ,afya katiba n.k
 
Politicians are manipulators, lazima watanzania tujifunze na kujizoeza kupima mambo kwa urefu na upana kabla ya kufanya maamuzi ya jumla
 
naunga mkono hoja kwa 1000%. ukitaka kumtawala mtu kama ng'ombe mnyime elimu na umpe umasikini wa kudumu. hapo utatawala mpaka Yesu atakaporudi...na hii ndiyo mbinu wanayoitumia CCM kuendelea kukaa madarakani na kufyonza rasilimali za taifa.
 
Wahenga walisema adui muombee njaa, lakini la pili na lipenda sana kuliko la kwanza " ukitaka kumtawala mwanadamu siku zote mnyime elimu bora"

Katika miaka hii ya 2015-2020 ndo miaka ambayo Tanzania ilipaswa kuionyesha dunia kwamba, inajitambua na inajielewa na imechoka kuendeshwa kwa matukio inataka mabadiliko ya kiuchumi na kimfumo.

Hasa tujirejea 2005 na mwanzoni kwa miaka ya 2006 ambapo kwa kile kilichoitwa kasi ya viwango! kuna watu walikimbia mahoteli yao na mabiashara makubwa wakihofia kuingia mikononi mwa Serikali ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya! Vikao vilikua haviishi ngurudoto vamia vamia maofisini zilikua ni tabu, lakini saivi Raisi huyohuyo kuna watu wanaomba anyang'anywe hati yake ya kusafiria! Amazing!

Magufuli tangu ameanza kazi Ana mwezi na siku kadhaa sasa, na kazi yake tunaiona tumeona hata waziri mkuu akitembea na vinondo alivyopewa na wafanyakazi wema wa bandari na TRA na yeye kuvamia hayo maeneo na kuwachukulia hatua mara moja wahusika walioorodheshwa kwenye nondo zake! Well and good..

Ninachojiuliza ni Waziri gani wa nchi hii au naibu wake (waliopita) katika secta yoyote kati ya zilizoonyesha ubadhilifu mkubwa ambaye hata kuitwa kutolea ufafanuzi wa kinachoendea ameitwa? Lakini mtanzania huyuhuyu aliyeongozwa kwa style hizihizi zaidi ya miaka 54 sasa amevurugwa kabisa kana kwamba kinachofanyika sasa sio wajibu wa kiongozi na anapokea mshahara wake!

Nini madhara ya sifa hizi ambazo mimi nikiangalia huko dodoma watoto zaidi ya 50% wanazaliwa na mtindio wa ubongo sijaona mikakati ya kiubunifu ya kuliokoa taifa, Zanzbar saivi utadhani sio sehemu ya muungano na huyuhuyu mpewa sifa tangu akae Magogoni hakawahi hata kutoa kauli! Madhara ya sifa ni kwamba mwanadamu mwenye uwezo wa kucheza na akili za watu ambao wengi tumenyimwa elimu bora, ataona adhma yake imetimia na sasa ananafasi kwenye nafsi hizi zilizopoteza mwelekeo, ataendelea na style hiyohiyo huku akifukia mambo ya msingi yanayo muhusu mtu katika maisha ya kila siku! Na mara nyingi style za namna hii hufanywa na watu ambao wana "lack of creativity"

Huko mbeya kuna watu bado wanapenda kujifungulia Zambia kwasababu ya ubovu wa Hospitali za taifa so shame!

Kila kukicha thamani ya shilingi inazidi kuporomoka na bidhaa zinapanda bei Magufuli alivyoingia Ikulu sado ya viazi ilikua 3500 saivi 5000 sioni mkakati wa kuliokoa taifa na huu mfumko wa bei ukiuliza utaambiwa bado mapema tunasahau kwamba, wafanyabiashara ni wajanja bei ikishazoeleka wanaifanya ya kudumu,

Hadi saivi anachokifanya Magufuli, Majaliwa na Sef ni kuikosoa serikali iliyopita hakuna hata kimoja cha kwao walichokifanya taifa kuwa mahala salama pa kuishi,

Hapa juzi tu tuliambiwa serikali inatoa ada elekezi kwa shule binafsi hii inaleta picha gani? Hii ni tafsiri kwamba hakuna ubunifu wowote wala maono yoyote ya mzazi juu ya namna gani ya kuifanya elimu ya Tz kuwa bora hasa kupitia shule za umma! Japo tena hao hao wamekanusha kuingilia shule binafsi! "Contradiction"

Kuna watu nikiandika post zangu badala ya kufikiri kwa kina wanakimbilia kusema nimetumwa! Shauri yenu ujinga mwingine huo, na kwa taarifa yenu mi ni mtanzania huru kabisa ninaye waza tu hatima ya nchi yangu

Hii nchi inasafari ndefu sana kwa watu makini kuanza kumsifia mwanadamu yeyote! Tusichokijua tz ni kwamba, wanasiasa ni werevu sana hutafuta jambo ambalo anajua akilifanya watu wanaowaza kirahisi rahisi atakua ameteka akili zao na kufukia hata yale ambayo ni mahitaji yao ya msingi bila wao kujua "Dont play with Politicians they know how to play with your minds"

Sisi watu wa dini tunasemaga "capitalism has failed" yaani ubepari umefeli kumsimamia mwanadamu"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom