goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Hiyo 7 & 8 ni miaka yako sisi tunatambua bado miaka 3 tu...!! Si zaidi ya hapo.Tuvumilie tu bado kama miaka 7au 8 hivi

Hiyo 7 & 8 ni miaka yako sisi tunatambua bado miaka 3 tu...!! Si zaidi ya hapo.Tuvumilie tu bado kama miaka 7au 8 hivi

We endeleza mapambano nyuma ya keyboard,ila ukijitokeza mtaani ni kipigo tu mpaka utakapojua kujibidiisha na kuacha ulalamishi.Tatizo mmekariri kila anayepingana na nyie anafaidika serikalini.Walalamishi ni wale wale hata wakati wa JK,utazeeka ukiwa mlalamishi.Shauri yako.
Ukichaa unasura nyingi usipotambua unaweza aibika mbele za watu.Ukiangalia kwa makini walalamishi wote walizoea vya dezo. Imagine mtu toka darasa l a saba kapita kwa kuibia mtihani, form four kaiba paper, six kaiba paper, chuo kadesa kuepuka sup na disco mpaka kamaliza. huyu mtu akifika nje atataka kubebwa. eti graduate ambaye hawezi kutumia knowledge yake kujiajiri. kujiajiri si mpaka pesa unaweza kutumia elimu yako tu ikakutoa, andika proposals, business plan uza e.t.c Serikali haipo kukuletea maisha bora direct...yenyewe inaandaa mazingira ya kukuwezasha -ufanikiwe...barabara, reli n.k . halafu mtoa post anasema kuhusu ajira...mbona website kibao zinapost nafasi za kazi. PAMBANA NA HALI YAKO.
Unakosea wewe kumjibu hivo huyo bado anamachungu..sasa ilitakiwa umjibu kama alivoeleza nakuyatoa machungu yake..
Anyway ngoja na mimi kidoooogo japo nimfariji huenda maimivu yake yakapungua na kama alitumwa atarudisha marejesho kwa waliomtuma
Pole sana mkuu, ni mapito magumu sana ambayo Watanzania tunayapitiaHakika post hii imenitoa chozi Mkuu
Wewe ni mjing..a sana, sio tusi ni maelezo.Mkuu wewe jua kitu kimoja huwezi shindana na serikali,fanya yako.Hiyo hali ipo mioyoni mwenu tu,mtaani maisha yanasonga kama kawaida.Lissu alijidanganya na nyie mkamchochea akajiona Hero.,wangapi hapa walimwambia anachokitafuta atakipata?,. Kama unataka uongozi wa nchi subiri 2020 ugombee ila usiwatoe watu kwenye mipangilio iliyopo.Mnamuita mwanasheria msomi,wanasheria wengine hawajasoma?,haya yupo wapi sasa?.,hii dunia fanya yako,serikali achana nayo huwezi shindana nayo,itakula kwako.Kama una hasira sana hama nchi,urudi Lowassa akiwa Raisi,kama hujazeekea huko huko.
Kua mkweli, wote hao wanalia.Ukiamua kushinda kwenye mitandao ya kijamii,lazima maisha yawe magumu.Ukipita mitaaani hasa maeneo ya machinga,mama ntilie,waendesha pikipiki,wauza mitumba,wauza kahawa,matunda.. Sokoni na kila sehemu,karibu nchi nzima watu wanaendelea na maisha yao ya kila siku,kwa amani na furaha tele.Nyie mliomaliza vyuo na wote mnategemea mchukuliwe na serikali na kila mtu anataka kazi ya TRA na tai kubwa ndo mna wakati mgumu.Hii sio sasa hivi tu,ni miaka yote,tofauti ni kuwa huko nyuma kuna ndugu walikuwa wanawa boost kidogo kidogo kwenye uchumi,zamu hii wamebanwa.Kuwa mbunifu,kulalamika hakusaidii.Ukibisha endelea kuilalamikia serikali,kama una uwezo wa kuiondoa kila la heri,ila yatakayokukuta utahadithia.Kama huna uwezo kuwa mbunifu,mambo yakufanya ni mengi hata ukiwa na elfu 50 tu.Uhuru wa kuabudu upo mkubwa tu,uhuru wa kuzungumza upo mkubwa tu,tatizo ni linapoletwa swala kisiasa,BAVICHA mnataka kumuombea Lissu himizaneni kila mtu alipo TZ nzima amuombee Lissu kwa wakati wake,au mpange kuanzia saa 9 jioni nchi nzima mumuombee Lissu kila mtu alipo,au kila mtu aende kanisani kwake na wa misikitini waende huko huko,hii ya kukusanyana Manzese na wa mikoani wakusanyane wapi?... Ukimchukulia JPM kwa jicho la kisiasa lazima umchukie,ila ukimuangalia kwa jicho la kujinasua hana baya,wewe pambana na hali yako,awamu zote zilizopita watu walalamishi kama wewe hawajawahi kukosekana,wapo tu.
Hakika hali ya nchi haina furaha hata kidogoUmeongea kwa hisia na ni kweli tena kweli tupu