Kwako Prof. Ndalichako: Wanafunzi huwa hawashindwi, walimu ndio washindwao kwa sababu hizi...

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF.

Mh. Waziri nimeona anaangaika sana kuiweka elimu katika mstari sahihi lakini atakumbana na vikwazo lukuki kutokana na watangulizi wake kuboronga sana tangia enzi za Marehemu J. Makweta, Mungai, Kawambwa . Huko nyuma mwalimu yoyote alipoteza thamani, ilifikia hatua hii kazi watu wakawa hawaipendi kabisa kutokana na mazingira wanayoishi.

Nianze kwa kusema kuwa wanafunzi huwa hawashindwi bali walimu ndio wanashindwa kuingiza wanafunzi walichofundishwa wao.
1. Walimu wengi hawana hamasa wanafanya bora liende. Mwalimu huyu utakuta wakwanza kuchelewa, mahudhurio kidogo, huwa mkali shuleni watoto utakuta wamempa majina mabaya kama pilati, mnomko na n.k.
2. Walimu wengi hawapati mafunzo panapotokea mitaala mipya au wakati mwingine upewa masomo ambayo hawana uwezo nayo, ulazimishwa kufundisha masomo ili pasionekane hakuna mtu wakati walimu wachache.
3. Walimu wengi kwa kukosa sehemu sahihi ya kujikimu hukuta wanaungana na jamii zenye mazingira duni hivyo kujikuta wamefanya mazoea na kukuta wakidumaa akili kwa kuwa hawapati changamoto mpya. Mfano wengi wameishia ulevi na uendeshaji bodaboda hivyo ujikuta wanadhalaulika kwenye jamii.
4. Vijiji vingi vyenye hali duni huwakatisha tamaa walimu kwani wengi hawataki watoto wao waendelee na shule, wanaona wanawachelewesha kuolewa ikiwa watashinda kuendelea na masomo.

Jambo linalokusumbua mh. ambalo unaangaika nalo ni kuwa unaangaika sana kuwaindoa wageni hasa wakenya waliojaa nchini kuja kufundisha shule zenye english media, unasahau kuwa kitendo cha kufundisha kiswahi full katika vipindi vyote ndio kikwazo cha kwanza wanapokuwa wanasonga mbele kuingia kidato cha kwanza. Kwanza jiulize wewe baada ya kupata elimu watoto wako wapo hizi shule za sant. Kayumba? Kwani mawaziri , makatibu wakuu, wakurugenzi, watoto wao hawako huko? Jibu hawataki kukutana na walimu waliokata tamaa; hawataki kujua zaidi kiswahili kwani wakitaka kiswahili wapo wazaramo na wazanzibar wanakifahamu wataenda kujifunza tu lakini hii lugha ya malkia bado ina dhamani kibiashara. Badilikeni mwende na soko sio kukosoa watu wanaojitolea kuanzisha mashule ya english media za kulipia, kwani wao ndio wanaobekana kufanikiwa.
 
Hiyo ishu ya lugha ni kitu kingine kabisa, darasani watu wansdoma ili kupata maarifa lakini kufundisha lugha ili watu waweze kuitumia lugha hiyo si inavyofanywa hapa Tz.

Kuna misingi ya kuifundisha lugha ili iwe lugha ya mawasiliano hasa hasa hii ya kuongea, ukizingatia ni lugha ngeni. Tutaweza katika hili pale tu tutakapoweza kutofautisha haya mambo mawili ambayo sahivi tunayakoroga
 
Walimu tuachen na changamoto zetu maana mnazitumia ili kukuza majina yenu .achen kabisa changamoto zetu tunazitatuwa wenyewe
 
We
Wana JF.

Mh. Waziri nimeona anaangaika sana kuiweka elimu katika mstari sahihi lakini atakumbana na vikwazo lukuki kutokana na watangulizi wake kuboronga sana tangia enzi za Marehemu J. Makweta, Mungai, Kawambwa . Huko nyuma mwalimu yoyote alipoteza thamani, ilifikia hatua hii kazi watu wakawa hawaipendi kabisa kutokana na mazingira wanayoishi.

Nianze kwa kusema kuwa wanafunzi huwa hawashindwi bali walimu ndio wanashindwa kuingiza wanafunzi walichofundishwa wao.
1. Walimu wengi hawana hamasa wanafanya bora liende. Mwalimu huyu utakuta wakwanza kuchelewa, mahudhurio kidogo, huwa mkali shuleni watoto utakuta wamempa majina mabaya kama pilati, mnomko na n.k.
2. Walimu wengi hawapati mafunzo panapotokea mitaala mipya au wakati mwingine upewa masomo ambayo hawana uwezo nayo, ulazimishwa kufundisha masomo ili pasionekane hakuna mtu wakati walimu wachache.
3. Walimu wengi kwa kukosa sehemu sahihi ya kujikimu hukuta wanaungana na jamii zenye mazingira duni hivyo kujikuta wamefanya mazoea na kukuta wakidumaa akili kwa kuwa hawapati changamoto mpya. Mfano wengi wameishia ulevi na uendeshaji bodaboda hivyo ujikuta wanadhalaulika kwenye jamii.
4. Vijiji vingi vyenye hali duni huwakatisha tamaa walimu kwani wengi hawataki watoto wao waendelee na shule, wanaona wanawachelewesha kuolewa ikiwa watashinda kuendelea na masomo.

Jambo linalokusumbua mh. ambalo unaangaika nalo ni kuwa unaangaika sana kuwaindoa wageni hasa wakenya waliojaa nchini kuja kufundisha shule zenye english media, unasahau kuwa kitendo cha kufundisha kiswahi full katika vipindi vyote ndio kikwazo cha kwanza wanapokuwa wanasonga mbele kuingia kidato cha kwanza. Kwanza jiulize wewe baada ya kupata elimu watoto wako wapo hizi shule za sant. Kayumba? Kwani mawaziri , makatibu wakuu, wakurugenzi, watoto wao hawako huko? Jibu hawataki kukutana na walimu waliokata tamaa; hawataki kujua zaidi kiswahili kwani wakitaka kiswahili wapo wazaramo na wazanzibar wanakifahamu wataenda kujifunza tu lakini hii lugha ya malkia bado ina dhamani kibiashara. Badilikeni mwende na soko sio kukosoa watu wanaojitolea kuanzisha mashule ya english media za kulipia, kwani wao ndio wanaobekana kufanikiwa.
ni bonge la fal* umesahau kuwa walimu wa serikali kwa sasa wamesahaulika kwa kila kitu? Maslahi yao hayatendewi kazi, madaraja na hata mishahara yao haikidhi. Kwa taarifa yako walimu kwa sasa wanafanya kazi bora iende,huyo waziri wa elimu akitaka kuona elimu inapanda faster alipe posho za walimu, atoe mishahara minono aone
 
Walimu tuachen na changamoto zetu maana mnazitumia ili kukuza majina yenu .achen kabisa changamoto zetu tunazitatuwa wenyewe
Kwa hiyo utaki wajitambue kama wa kule kenya ambao waliwa hapa wanalipwa fedha nyingi?
 
We

ni bonge la fal* umesahau kuwa walimu wa serikali kwa sasa wamesahaulika kwa kila kitu? Maslahi yao hayatendewi kazi, madaraja na hata mishahara yao haikidhi. Kwa taarifa yako walimu kwa sasa wanafanya kazi bora iende,huyo waziri wa elimu akitaka kuona elimu inapanda faster alipe posho za walimu, atoe mishahara minono aone
Mapovu ya nini ndugu, hapa tunataka tuboleshe elimu wewe unaleta uzwazwa au haujaelewa?
 
Back
Top Bottom