Poleni na hongereni na majukumu ya kulijenga Taifa,
Mwita Waitara na CCM ukonga niwape hongera kwa maandalizi mazuri ya marudio ya uchaguzi. Sina shaka jimbo litarudi CCM na wewe mheshimiwa utarudi bungeni. Napenda tu uupate huu ujumbe wangu popote pale ulipo. Mimi ni mwana ukonga na ni kijana mpenda maendeleo bila kujali itikadi ya aina yeyote. Ningependa tu nikupongeze kwa uamuzi wako wa kujiunga na chama cheti na ningeweza kupata nafasi ningekunadi jukwaani pamoja na mtaa kwa mtaa bahati mbaya niko mbali na ukonga kimajukumu. Niwatakie kampeni njema na ya kistaarabu ili kuweza kurudisha jimbo mikononi mwa chama bora kabisa barani Afrika
Mwana CCM-Kijana mpenda maendeleo
Changoko-Same
Mwita Waitara na CCM ukonga niwape hongera kwa maandalizi mazuri ya marudio ya uchaguzi. Sina shaka jimbo litarudi CCM na wewe mheshimiwa utarudi bungeni. Napenda tu uupate huu ujumbe wangu popote pale ulipo. Mimi ni mwana ukonga na ni kijana mpenda maendeleo bila kujali itikadi ya aina yeyote. Ningependa tu nikupongeze kwa uamuzi wako wa kujiunga na chama cheti na ningeweza kupata nafasi ningekunadi jukwaani pamoja na mtaa kwa mtaa bahati mbaya niko mbali na ukonga kimajukumu. Niwatakie kampeni njema na ya kistaarabu ili kuweza kurudisha jimbo mikononi mwa chama bora kabisa barani Afrika
Mwana CCM-Kijana mpenda maendeleo
Changoko-Same