Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,027
- 9,266
Pole sana na hekaheka za uchaguzi na majukumu mazito ya kuliongoza Taifa letu.
Ni dhahiri kwamba kwa sasa utakuwa unaipanga serikali utakayofanya nayo kazi kwa miaka mitano ijayo.
Na hili ni ombi langu kwako.
(1): Mpe profesa Lipumba kazi ya Uchumi, mfanye hata mshauri wako: hiki kichwa ni hazina kubwa sana kwa Taifa. maana kwa kuwa tunajenga nyumba moja, kila mwenye kuweza kubeba fito na azibebe.
(2)Ili kutekeleza vilivyo azma ya Kilimo Kwanza, toa incentive kwa vijana wetu wachukue masomo ya kilimo katika ngazi za vyuo vikuu: kwa sababu ninaamini pasipo na wataalamu wa kutosha, Kilimo kwanza itasuasua, pia na scholarship kwa vijana watakaosomea kilimo ni bora pia zikaongezwa.
(3) Kuhusiana na National service, ni dhahiri kwamba ile national service ya kwenda kupiga kwata na kuimba nyimbo za kuwasifu viongozi imepitwa na wakati, napendekeza uunde national service ambayo itaweza kuwafanya watu watumie vipaji vyao kiukweli ukweli kulisaidia taifa, mathalani kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita, ambao wana rekodi ya kufanya vizuri sana katika masomo yao, wanaweza kujitolea kwenda kufundisha katika shule hizi mpya tunazozijenga maarufu kwa jina la shule za kata, wakati huo wakisubiri muda wao wa kwenda vyuo vikuu, hii inaweza kuwa modelled na ile peace corps ya wamarekani.
Ni dhahiri kwamba kwa sasa utakuwa unaipanga serikali utakayofanya nayo kazi kwa miaka mitano ijayo.
Na hili ni ombi langu kwako.
(1): Mpe profesa Lipumba kazi ya Uchumi, mfanye hata mshauri wako: hiki kichwa ni hazina kubwa sana kwa Taifa. maana kwa kuwa tunajenga nyumba moja, kila mwenye kuweza kubeba fito na azibebe.
(2)Ili kutekeleza vilivyo azma ya Kilimo Kwanza, toa incentive kwa vijana wetu wachukue masomo ya kilimo katika ngazi za vyuo vikuu: kwa sababu ninaamini pasipo na wataalamu wa kutosha, Kilimo kwanza itasuasua, pia na scholarship kwa vijana watakaosomea kilimo ni bora pia zikaongezwa.
(3) Kuhusiana na National service, ni dhahiri kwamba ile national service ya kwenda kupiga kwata na kuimba nyimbo za kuwasifu viongozi imepitwa na wakati, napendekeza uunde national service ambayo itaweza kuwafanya watu watumie vipaji vyao kiukweli ukweli kulisaidia taifa, mathalani kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita, ambao wana rekodi ya kufanya vizuri sana katika masomo yao, wanaweza kujitolea kwenda kufundisha katika shule hizi mpya tunazozijenga maarufu kwa jina la shule za kata, wakati huo wakisubiri muda wao wa kwenda vyuo vikuu, hii inaweza kuwa modelled na ile peace corps ya wamarekani.