shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,454
- 2,359
Taarifa nzuri zitasaidia kumshughulikia, yeye na huyo SASSI halafu wote ni musoma gangs,
Mama mhagama ona hii kitu iko chini ya uwezo wako nenda tumbua mameneja wote wa nssf mkoa wa dar
Mama mhagama ona hii kitu iko chini ya uwezo wako nenda tumbua mameneja wote wa nssf mkoa wa dar
Na huyo meneja baada ya kufika Temeke ameunda mtandao wake wa kula Rushwa kunazia kwa Amina Mkorehe, Aisha makuberi na wengine ambao amewapangia majukumu ya kupitisha maombi ya malipo ya wanachama.
Ndugu Mshomba akishavuta mpunga wanagawana na kina SASSI