LEYANA LESINDAMU
Member
- Mar 22, 2012
- 33
- 11
Mh.Kafulila,ulikimbia kwa makamanda wa CDM ukaenda kwa mamluki wa Magamba. Natabiri utaporomoka kisiasa hata kupotea kabisa. Nakushauri rudi CDM omba msamaha hata kama ni kupoteza ubunge lkn nyota yako kisiasa itang'ara zaidi ukiwa na makamanda wa ukweli. Kafulila zingatia hili!