Mwanahabari huru nimekusoma na kukuelewa,,lakini binafsi huwa simulaumu padri dr slaa,, bali lawama zote zimuendee aliyekuwa first lady mtarajiwa josephina mshumbusi kwa nguvu kubwa mno aliyoitumia kumnyamazisha mzee wa watu,, na hata kama ni mimi nisingekubali kupoteza papunchi tena ya mtoto mdogo wakati mimi mzee kwa sababu ya siasa,, jamani mtamlaumu bure slaa.