yupo whatsapp hahahahaaaa (jokes)Umehamia Instagram Forum?
Hapo sawa... Vinginevo utakuta huna chako tena ukija unaanza upya wajanja tushafanya yetubasi InshaAllah ila ntapunguza kasi wallah
NimejifunzA sana na ninaendelea kujifunza.mm je hujajifunza kitu toka kwangu hahahahahaaa
zinaendelea vyema ila wateja siku hizi wamekuwa adimu sana sijui hakuna wanaooana au kimbunga gani kimelikumba yaaniNimejifunzA sana na ninaendelea kujifunza.
Vipi shughuli zetu za sherehe zinaendeleaje?
Kwa heri ndugu,hapa ni kwako,muda wowote we ukijiskia kurudi rudi tu!Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.
Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.
Kwaherini wapendwa.
Sky majukumu gani ya kukufanya hata usitusabahi mara moja moja JF.Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.
Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.
Kwaherini wapendwa.
Mhhhh! Majukumu gani hayo ya kushindwa kuingia humu hata kwa dakika chache tu kwa siku au kwa wiki? Michango yako humu imeenda shule na niliwahi kukwambia hivyo miezi ya nyuma. Hebu achana na hiyo dhana ya kutaka kuaga bhana.
Nitakumiss Dkt. !Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.
Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.
Kwaherini wapendwa.
Pls don't leave like candle in the wind...gone too soonWapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.
Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.
Kwaherini wapendwa.
Shikamoo Dada naumwa nimelazwaSky Eclat niambie ID yako mpya please. Kweli unaweza toka humu? Kisima cha habari, matukio na uelewa?? We haya.