Kwaherini

Sky Eclat.....usinitie Jakamoyo wakati huu. ....bado nauguza aliyoyaacha Salman.

It's sad to see your contribution has come to an end....Thank you for sharing.

Good luck staying disconnected...xx
 
Wapendwa,

Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.

Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Kwa heri ndugu,hapa ni kwako,muda wowote we ukijiskia kurudi rudi tu!
 
Wapendwa,

Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.

Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Sky majukumu gani ya kukufanya hata usitusabahi mara moja moja JF.

Wewe ni moja ya memba ambao nikiudhika hapa nashindwa kutoa matusi kisa tu nahofia utanionaje.

Nwei : kila la kheri mpendwa japo naamini tu pamoja.
Mhhhh! Majukumu gani hayo ya kushindwa kuingia humu hata kwa dakika chache tu kwa siku au kwa wiki? Michango yako humu imeenda shule na niliwahi kukwambia hivyo miezi ya nyuma. Hebu achana na hiyo dhana ya kutaka kuaga bhana.
 
Wapendwa,

Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.

Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Nitakumiss Dkt. !

See you there...!
 
Wapendwa,

Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.

Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Pls don't leave like candle in the wind...gone too soon
 
Back
Top Bottom