Huyu Ngida inaonekana ni mayai sana au ana sababu zake zingine? Kama "shell" yake inashuka baada ya kuona picha tena ya watoto wanaosoma kwenye mazingira magumu sasa akiwaona live wenye shida zaidi ya hizo itakuwaje? Namtakia maisha mema kwenye "safe" place!
Safe place??? Here in Tanzania, Kindly show me, whatever you see, hear, smell, touch or whatever is a reflection of the poverty level of the Tanzanians as a result of the poor distribution ops sorry, non distribution of the national cake to all the citizens concerned.He is just running away from his own shadow, in which case he is bound to fail. If you dont see this on the internet, then you will watch it on TV or listen on the radio and if you go outside you will see it at kijiweni. or in the streets.The best option is to change the system so that we dont see such schools, roads, hospitals etc
"kazi ngumu kuliko zote duniani ni kufikiri, ndio maana Watanzania hawaipendi kabisa kazi hiyo"
Yah ni kweli kabisa!!!Shujaa kamili huwa hakimbii vita, hupigana hadi tone la mwisho la damu yake.
Yah ni kweli kabisa!!!
Senior Member
Join Date: Tue Aug 2009
Posts: 81
Thanks: 46
Thanked 41 Times in 27 Posts
I'm right behind you my friend, Tanzanian politics sucks!