Yeah,na mliobahatika kusoma uzi wangu asanteni sasa na naufuta sasa ili matesi wangu wasije nifahamu kwa dhamira zao asanteniKamanda "umebwaga manyanga" umekimbia medani ya "mapambano".
Ulifikiri ni lelemama?
Hata mim mara ya kwanza sikujiunga lakn kiherehere cha kuchangia hoja nikajiungaUzuri ni kuwa JF ukiwa msomaji unapata madini mengi sana ila ndio hivyo tu kiherehere Cha kutaka kuonekana ndio kinatukwamisha
SS vita SI Ina mwenyewe we unafikiri unapigaba tu?Shida vita ni ngumu ninazofikiri zinatokana na siasa au shughuli zangu za uchumi
By mbunge mpya mtarajiwa
Faiza upo?😎Kamanda "umebwaga manyanga" umekimbia medani ya "mapambano".
Ulifikiri ni lelemama?
Nawe unataka kuwa mbunge, halafu mstari mmoja tu unaandika hivi?Shida vita ni ngumu ninazofikiri zinatokana na siasa au shughuli zangu za uchumi
By mbunge mpya mtarajiwa
Umekimbilia haraka ukidhani ni "Anthropology"; kumbe yeye anaitwa "Anthopody"!Kamanda "umebwaga manyanga" umekimbia medani ya "mapambano".
Ulifikiri ni lelemama?