Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Du jamaa tishio! Wakimkata watampa cha kuongea bora wamuache alafu wacheze karata abwagwe kwa kura kwenye nec ili kumkata kidomodomo kabisa. Ni mtazamo tu msiniuwe bure bandugu.
Uwezo huo wa kucheza karata huko NEC hawana kabisa,kama huamini muulize Lizaboni ndio maana wanapigana kufa na kupona aishie CC
Last edited by a moderator: