Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Wakithubutu kukata jina CCM ndio bye bye....nakuhakikishia
Kazi aliyobaki nayo huyu jambazi sugu na fisadi papa lowasa ni kuitisha ccm. Mara oohh nitaondoka na watu. Mara oooh ushindi usipopatikana ndani ya ccm utatafutwa nje. Pesa tu ndo zinaongea lkn ukimuangalia anayeongea utastaajabu sana. Sura imeleghea macho yake yamekuwa km teja. Hawezi hata kukaa mwenyewe bila kushikiliwa yaani ni mgonjwa mahututi. Jambazi sugu na fisadi papa na mgonjwa lowasa aachwe apumzike