Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

Baba Hellen

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
763
Reaction score
91
Amini usiamini lowassa amechemka sana kwenye mbio hzi du poleni wahanga wote na watanzania kwa ujumla
 
Amini usiamini lowassa amechemka sana kwenye mbio hzi du poleni wahanga wote na watanzania kwa ujumla

Badili heading ni 2025, kwa utaratibu vBulletin wa ccm haeezi mchomoa aliyeko madarakani
 
Lowassa ndo pekee uliyemwona kati ya 38 acha kuwanga subiri
 
Wakithubutu kukata jina CCM ndio bye bye....nakuhakikishia
 
mwisho wa usanii umefika sasa ndio uhalisia.maigizo yameisha!

Na akipitishwa je?

Halafu kumbe watu tayari washakubali kuwa CCM itaendelea kutawala Tanzania kwa miaka mingi sana ijayo kama si milele.
 
Kama kutaja jina Lowasa tungekuwa tunatozwa kodi basi TRA wangepata mabilioni maana huyu mtu anatajwa kila siku sijui ni kila dakika??,
 
Back
Top Bottom