Kwaheri Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Tito Magoti

Member
Oct 2, 2014
22
142
Katika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.

Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.

Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.

Kwaheri Mhe. JPM.
 
Back
Top Bottom