Tito Magoti
Member
- Oct 2, 2014
- 22
- 142
Katika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.
Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.
Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.
Kwaheri Mhe. JPM.
Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.
Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.
Kwaheri Mhe. JPM.