Kwaheri Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Kwaheri Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Hakika mwendo ameumaliza salama!
Pumzika kwa amani Hayati Dr. John Pombe Magufuli mwana mwema wa Afrika.
 
Katika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.

Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.

Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.

Kwaheri Mhe. JPM.

Bora umesema.
 
Ubarikiwe mkuu
Katika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.

Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.

Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.

Kwaheri Mhe. JPM.
[/QUOT
 
Back
Top Bottom