F100 Maziwa Mazito
JF-Expert Member
- Jul 31, 2020
- 209
- 374
Ww mwenyewe unatuhumiwa humu kuwa, unahusika kuwanywesha watu sumu huko chamani...... Jibu hii hoja magotiKatika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika.
Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako.
Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri.
Kwaheri Mhe. JPM.