Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,650
Aiseee yani ukiwa mtu wa "miundo mbinu" hadi kaburi linakaa ki miundo mbinu miundo mbinu flani hivi....Hahahahha..naskia ni kama mageti ya kuslide.ndan hakuna habari za kujaziwa "malongo"๐ ๐ ! Yaan siku ukimiss kuangalia nadhan unalislidisha tu
Apumzike kwa Amani kamanda