Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,634
- 10,715
Leo asubuhi nikaona ni play nyimbo za Xmass kwenye simu yangu Kufungua Google play Music nikakutana na ujumbe “......is no longer available” Na kunitaka nihamie Youtube Music
Nimeidownload hapa bado sijaona maajabu yake. Sana sana naona kama interface yake sijaipenda au sijui ni kwa sababu niliizoea sana Google music
Vipi kwako unaionaje?
Nimeidownload hapa bado sijaona maajabu yake. Sana sana naona kama interface yake sijaipenda au sijui ni kwa sababu niliizoea sana Google music
Vipi kwako unaionaje?