mtambo mlay
Member
- May 27, 2013
- 6
- 0
Kutakuwa na meeting together kwa wale wanafunzi wa it waanzilishi wa chuo cha smmuco mwezi wa 12 lengo ni kuwajenga it wenzetu walioko chuoni na kuwaeleza hali ya soko la ajira nchini tanzania.wote mnakaribishwa waliomaliza kuanzia mwaka 2011 na 2012.