Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,928
- 23,271
Nawatakie Eid njema wakuu.
niliwahi kusikia kuwa zamani jimbo katoliki morogoro ndio walio kuwa wamiliki halali kuanzia hospitali kuu mpaka bigwa kwa makadirio ni km 15. Na hakuka na eneo la mtu au taasisi yoyote katikati hapo.
ningependa kujua kama ni kweli na iliwezekanaje?
niliwahi kusikia kuwa zamani jimbo katoliki morogoro ndio walio kuwa wamiliki halali kuanzia hospitali kuu mpaka bigwa kwa makadirio ni km 15. Na hakuka na eneo la mtu au taasisi yoyote katikati hapo.
ningependa kujua kama ni kweli na iliwezekanaje?