Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
Nilimpenda msichana mmoja na nikajiamni kuwa natmweka ndani tu. Binti alikua innocent flani halafu kafa kaoza kwa kijana. Tulikua "pamoja" for 13 years!! Mimi nikawa najirusha kama sina akili nzuri, taking her for granted.
Warning signs sikuzitilia maanani, hehehe all of a sudden, kajamaa flani kalikokua kanazengea pembeni pembeni for 3 years hivi kakajitokeza. Mimi being over confident nikamwambia binti aende kama wangu atarudi kama sio basi. In two weeks akatoa posa, after two months NDOA!! Naona picha kwenye the Citizen!! Hahahaha DUH!!
Ila I don't think kua najuta although she was a beuty queen I don't think ningewezana nae kama wa sasa, au ningempenda hivi, lakini imenifundisha kutokua over confident na kuondoa vi pompasity and NEVER ASSUME OR TAKE THINGS FOR GRANTED!! Hahaha life bwana!
Warning signs sikuzitilia maanani, hehehe all of a sudden, kajamaa flani kalikokua kanazengea pembeni pembeni for 3 years hivi kakajitokeza. Mimi being over confident nikamwambia binti aende kama wangu atarudi kama sio basi. In two weeks akatoa posa, after two months NDOA!! Naona picha kwenye the Citizen!! Hahahaha DUH!!
Ila I don't think kua najuta although she was a beuty queen I don't think ningewezana nae kama wa sasa, au ningempenda hivi, lakini imenifundisha kutokua over confident na kuondoa vi pompasity and NEVER ASSUME OR TAKE THINGS FOR GRANTED!! Hahaha life bwana!