KijikoYajiko
Senior Member
- May 8, 2012
- 106
- 19
Unapokuwa unaripoti kuanza kazi, kunahitajika any sort of kitambulisho?
Naombeni uzoefu wenu wakuu.
Naombeni uzoefu wenu wakuu.
Ok nakushukuru kaka, maana nilikuwa nishaanza kuhaha.Barua uliyoitiwa kazi ni muhimu..kama kwenye kuitwa uliambiwa upeleke na picha waweza kwenda nazo lakini kimsingi kama umeitwa nenda tu na maelekezo mengine utapewa ukifika,wanaweza kukupeleka police kuchukuaa finger print na mengineyo
nimeku-pm mkuu
Mkuu nimeuliza kuwa je, huwa wanahitaji kitambulisho chochote? Yaani huwa kuna demand ya kitambulisho ili kukamilishiwa taratibu za ajira?Kitambulisho gan maana siku hz vipo vingi