Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Hii itasaidia na watu ambao hatuna watoto na mungu akipenda soon tutaitwa mababa
 
Mshana ungefafanua vizuri kuhusu Asali, nijuavyo ni hatari sana kumpa mtoto mdogo Asali mbichi. At least akishazidi miaka mi5.

Kuhusu Pneumonia inasababishwa zaidi na baridi. Ukimwona mtoto anatetemeka sanaaa wakati wa baridi usitumie dawa yoyote zaidi ya chai ya rangi yenye tangawizi kidogo then mfunike alale. Akiamka yupo shwariii.

Shukran mshana jr kwa ubunifu wa mada hii.
 
Kuna vikohozi vikavu visivyokoma hapa dawa yake ni Kijiko kidogo cha asali na kama una maziwa fresh unaweza kumchanganyia humo...hii haina madhara kabisa na kama ni mdogo zaidi humpi kwenye Kijiko bali unamlambisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…