Kwa watumiaji wa Google Pixel

Sawa sawa mkuu ,na kuhusu charging pixel 3a kujaa kw mda mfupi haina madhara?
 
Hizo 3 na 3a bado unazo mkuu?
 
Awap mkuu battery inakaa sana Tena Pixel3a labd ishachakachuliwa
Nilinunua pixel 2xl Ile simu ni kama paso aiseee!
Kila ukipiga picha Moja asilimia Moja inaondoka...
Nikauza nikanunua 3a kwenye chaji ikawa poa sana.niliuza nikachukua 3axl kwenye chaj ni super 3700 ila nikichaji saa 12 adi saa 3 usiku ndio nachaji Tena.
 
At least 3a mkuu mm pia naek battery saver,inasaidia sana... 3axl big up Ina battery kubwa ila kiujumla ni simu nzuri sana zmetulia kinoma
 
2xl hatar, ila 3a ukiwasha data inakaa chaji kinoma imekaaje hii ishu?
 
2xl hatar, ila 3a ukiwasha data inakaa chaji kinoma imekaaje hii ishu?
Hawa jamaa bana wanapishanisha vitu vichache sana kikubwa wanachopishanisha ni size inches ya simu na ukubwa wa betri Kwa upande wa camera wanapishanisha Kila wanapo toa toleo la mbele yake ya mfano 5&6 haziwezi kuwa sawa kwenye camera tatilia utajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…