Kwa watumiaji wa Google Pixel

Kwa watumiaji wa Google Pixel

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,845
Reaction score
16,094
Google pixel 7&7pro ni moto wazeee Team pixel tukutane kuzijadili.

Ikiwa tayari uzinduliwaji wa simu aina ya google pixel 7&7pro kuzinduliwa mda mchache ulio pita Sasa hizi ndio Bei zake na nchi ambazo zinapatikana Hadi Sasa.

Karibuni
20221006_212344.jpg
20221006_212837.jpg
20221006_212904.jpg
20221006_212902.jpg
Screenshot_20221006-212505~2.jpg
Screenshot_20221006-212947~2.jpg
 
hawa kinachowaponza na kitakachowakwamisha ni hiyo android one ambayo haina faida yoyote kuwa hivyo.

skin mbovu sijapata kuona,lakini pamoja na kuwa simple bado imeshindwa kuwa nyepesi kama ios japo simu ni ya google na simu ni yao pia.

bora wajiachie tu,likae simu fulani lenye camera kali na UI la kipekee kutoka google.
 
hawa kinachowaponza na kitakachowakwamisha ni hiyo android one ambayo haina faida yoyote kuwa hivyo.

skin mbovu sijapata kuona,lakini pamoja na kuwa simple bado imeshindwa kuwa nyepesi kama ios japo simu ni ya google na simu ni yao pia.

bora wajiachie tu,likae simu fulani lenye camera kali na UI la kipekee kutoka google.
Hapo ndo tofaut ya iOS vs android mkuu Mimi nimtumiaj sana wa android especially Samsung+google pixel sihamahi humo ila iphone ndio simu zangu za mda ote nikiona nimeshika android na-switch iOS.iOS Kuna vitu flan wanavyo android hawana aiseee
 
Back
Top Bottom