Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Kwa watu wenye changamoto ya vipara

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,542
Reaction score
6,491
Wakuu hope mpo wazima wote. Na wagonjwa Mungu awafanyie wepesi.

Uzi wangu unawahusu wanaume wenye changamoto ya kutoka upara wakiwa bado vijanana wadogo.

I mean kuna mtu nywele zinaanza kuisha yupo early 30 au 20 hili ni tatzo sana kwa jamii nyingi ya watu. Na inawafanya watu wanakosa confidence.

Mimi sio muhanga wa tatzo ila kuna viashiria fulani nimeanza kuviona so nimejaribu kutafuta solution ya tatizo nimekosa zaidi labda ukapandikize ambapo ni gharama kubwa sana sio chini ya milion tatu ambavyo kwa vipato vyetu sio rahisi kushika hiyo pesa.

So katika ufiti wangu nimefanikiwa kupata njia bora na salama ambayo ni kuagiza wigs za kiume kutoka nje baada ya hapo utadirectiwa kwenye barbershop maalum ambapo utaweza kufanya installation na tayari utakuwa umerudisha comfidence yako. Najua hii changamoto imewakumba wengi hivyo nawakaribisha kwa maswali kwa anaehitaji ufafanuz kuhusu hii huduma. Mungu sio mjinga kutupatia nywele sasa kwanini tukubali kuishi na vipara angali bado vijana
 
images.jpeg
 
Yes kaka tatzo linapotokea watu wanaingia deel kutafuta soln
KWA nini solution isiwe kusiotesha. Naona Wayne Rooney alifanikiwa kukisakafia kupata chake.

Nilimuuliza daktari bingwa wa ngozi akasema hata yeye ameshindwa kukitoa, unaamini gani KWA wanaosema wanadawa za kuotesha nywele
 
Back
Top Bottom