Si atakuwa anatembea mguu pande mpenzi
Maji ndio mpango mzima.
mh! yaani jf, hakuishagi vimbwanga! ona hii sasa jamani....si majanga haya...!!!
JEKI we haujawah kutana nayo??
Ndo maana sijawaambia watu hadi leonyoooooooooooooooooooo "eti kwa watu wazima 35+""
Wewe mtu mzima??????!!!
Unasaliti ndoa yako alafu bila aibu unakuja kututaarifu humu!!
Real men dnt kiss and tell!!mxxxxxxiiiiiiiiuuuuuu
Duu....watoto 10?kwel wajinga ndio waliwao.........hongeraMkuu ndio maana hiyo background ya kupigishwa misele karibu miezi 11 ni muhimu, pia nikiwaza pesa yangu iliyopotea ningeweza kusomesha watoto yatima hata 10 mwaka mzima.
next time unaenda na mwavuli tu hapo lol
hahahahaha Mkuu hujatulia weweeeUnataka aje umtoe maji siyoo..???
kazi ipo.
ulipasua chupa ya maji ya ujauzito, wataalamu wanasema hiyo ni AMNIOTIC FLUID!