kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Heshima mbele wakuu.poleni na kazi ngumu ya kusherehekea miaka 50 migumu
Kuna kitu kinanitatiza sana kichwani nadhani wenzangu mnaweza kunisaidia, nimetembelea bar nyingi kanda ya ziwa wahudumu wanaohudumia wengi ni wa kutoka ARUSHA NA SINGIDA na wanahudumia huduma zote, sasa naomba wenyeji wa mikoa hiyo au wazoefu wanaoijua wanisaidie,JE KATIKA MIKOA HIYO WAKINA DADA WENGI WANAPENDA KUSOMEA UBAMEDI?ni hilo tu nataka kujua.
Kuna kitu kinanitatiza sana kichwani nadhani wenzangu mnaweza kunisaidia, nimetembelea bar nyingi kanda ya ziwa wahudumu wanaohudumia wengi ni wa kutoka ARUSHA NA SINGIDA na wanahudumia huduma zote, sasa naomba wenyeji wa mikoa hiyo au wazoefu wanaoijua wanisaidie,JE KATIKA MIKOA HIYO WAKINA DADA WENGI WANAPENDA KUSOMEA UBAMEDI?ni hilo tu nataka kujua.