Think Tank
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 233
- 25
Wa mura!kama kweli kuna ndoto ya umoja!Vitu kama koo,dini au madhehebu,elimu,uchumi kwa muhusika visipewe kipaumbele,cha muhimu tu awe MwanaMara,tofauti na hapo tutaendelea kulalamika kama kawaida yetu Watz.Wazo nzuri kinachohitajka ni mbolea tu.