- Thread starter
- #121
Hayo ni mawazo yako,yaani una maana kuwa na umoja wa vijana ni kubagua wazee?kuna mtu kawakataza kuwa na umoja?kuna uvccm na bavicha, mbona wazee wa ccm na cdm hawajalalamika.Au ulimaanisha nini? au unashauri nini?[/COLOR]
Nimewasoma. Yote ni heri ila hilo hapo juu la katiba ya ubaguzi wa kuwabagua wasio vijana halitatuvusha! Liangalie upya wewe mwenye katiba yako.