MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,731
Kwa kumbukumbu zangu, Kwa Mkapa na Jk hata Magufuli, sikuwahi kushuhudia kiwango hiki cha teuzi, kwa wastani Rais anateua kila siku.
Kiwango cha kuteua na kuhamisha ni cha kutisha katika nchi hii ya Tanzania.
Ukitoa siku za weekend siku zingine zote huwa kuna teuzi na Hamisho, nchi inafanyiwaMajiribio ya kutawala na Mbona Mkapa, Kikwete na hat Magufuli hautkuona hii tabia?
Akija mgeni unaweza dhania ndio kwanza tumetoka kwenye uchaguzi kumbe ni mwaka wa tatu tangu uchaguzi uishe lakini ni mwendo wa teuzi, hamisha na tengua.
Madam President this is too Much kwa kweli hata kama ni kikatiba but too much mbona huko nyuma hatujuwahi kuona haya?
Kiwango cha kuteua na kuhamisha ni cha kutisha katika nchi hii ya Tanzania.
Ukitoa siku za weekend siku zingine zote huwa kuna teuzi na Hamisho, nchi inafanyiwaMajiribio ya kutawala na Mbona Mkapa, Kikwete na hat Magufuli hautkuona hii tabia?
Akija mgeni unaweza dhania ndio kwanza tumetoka kwenye uchaguzi kumbe ni mwaka wa tatu tangu uchaguzi uishe lakini ni mwendo wa teuzi, hamisha na tengua.
Madam President this is too Much kwa kweli hata kama ni kikatiba but too much mbona huko nyuma hatujuwahi kuona haya?