Je unajua kwa nini watu wanampenda Magufuli ni kwa sababu ya utendaji wake na hii ni tofauti na JK alivyoingia kwani mimi binafsi sikujua utendaji wa JK akiwa kama waziri zaidi ya kusaidiwa na promise ya baba wa taifa, kwa mtoa mada anachokisema ni mapungufu ambayo yapo kwa walio wengi na kwa uzoefu wangu kwenye majimbo ya kagera kuna fitna za chinichini nyingi sana na ukimshinda mtu ugonvi hauishi mpaka unazikwa si kwa Magufuli tu uliza bukoba mjini na kwingineko, mtafute Lwakatare akuambia yanayojili huko, hayo ndio mapungufu ya kagera ila tunahitaji kuyatafutia ufumbuzi