nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
Acha majungu na porojo wewe. Sisi tunaangalia nini alichofanya kwa taifa na siyo nini alichofanya Biharamuro. Inawezekana wewe umetumwa na mafisadi kuanza kumchafulia Mhe. Magufuli. Waambie waliokutuma kwamba tumekung'amua.
Kwa taarifa yako, hakuna mwanadamu aliyemsafi. Kinachotazamwa hapa ni uthubutu wa kiongozi kuchukua maamuzi makubwa na magumu kwa maslahi ya umma. Kwa sifa hiyo, niambie ni nani anayeweza ndani ya baraza la mawaziri la sasa, kama siyo Mhe. Magufuli?? Ebu tuondolee porojo zako humu jamvini zisizo na mashiko.
kaka acha jazba huyo magufuri unayemuona wewe kuwa ni malaika ndiye huyo aliyemnadi jk jimboni kwake kuwa ni kiongozi safi,..we unaamini hivyo??na angekuwa anafaa asingekuwa ccm,..trust me when i say,hakuna msafi ccm,huyu magufuli si ndo aliyejiuzia nyumba ya serikali pale o'bay na kuweka lami barabar iendayo nyumbani kwake,..kikwete mlimuona hivyo hivyo