Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Siku hizi watu wanajali ndoa kuliko upendo. Watu wanfunga ndoa lakini baada ya miezi miwili nyumba haina amani.
Ngono ndio imetawala kwenye vichwa vya watu. Wanawake kisingizio chao kikubwa ni kuwa mwanaume hamridhishi kwa hata kama huyo mwanaume atampigania vipi ataishia kula makombo.
Haya mambo bwana ni magumu mno cha kufanya ni kuomba mungu tu maana kua single haiwezekan upweke nao tabu,mwili nao unahitaji watu hawapendeki yan hata cjui watu tuiije dah!