umenifurahisha sana mpz na waiting list inabidi nikaangalie huko kwa sasa na kumpa mtu bonge la sapraz
yote yanawezekana lkn ni vema kutokesema mana unamuumiza mwenzi wako
thanx wangu....................umenifanya nimepata afueni kidogo loh!Maisha haya yashakua mafupi hakuna haja ya kuuana kwa strec especial kujihucsha na wanaume ndevu ambao bado wana akili za kivulana ndio wanakuaga na majibu ya dharau km hayo,cheki waiting list km kuna mwenye akili ya kimwanaume songesha maisha mapnz hayalazimshwi atii!
Mapenzi ya siku hizi yamebaki kwenye vitu na sio kwenye moyo.
Mwanaume anamuacha mwanamke anayempenda lakini anamfuta mwanamke mwingine kwa kigezo cha sura au umbo. Hivyo hivyo mwanamke anamwacha mwanaume anae mpenda nakumfuata mwanaume mwingine labda mwenye fedha au handsome.
Yaani siku hizi ni vururu vururu
haaaaaaaaaaaa cantalisia loh! nimeipenda thinking capacity yako mpzAshukuriwe mungu hakuna mwenye uwezo wa kujua yaliyo moyon mwa mwingine vinginevo dunia ingebaki tupu na wanyama tu na binadam ungekuta tushauana kwa kugundua namna mtu anavojipanga kumtapeli mwenzie kimapnz!
haaaaaaaaaaaa cantalisia loh! nimeipenda thinking capacity yako mpz
hakuna mi naona tunasahau kwa kuwaamini sana ndio mana wanatuumiza
ilo liko wazi ............ila sio mzuka kumwambia mwenzio live eti cwez kukupigania hata siku moja wanawake wako kibao mm sinitaonekana chizi kukuganda ww tu
kila siku nikiamka "REAL LOVE" hiki kitu ni nini jamani katika ulimwengu huu wa shida
Yan hata cjui hii dunia inaenda wapi,maana watu wanakomaa na tamaa za maisha na vitu na upendo haupo tena,ni usanii na kudanganyana ndoa imekua maigizo
na wanawake wanasema unadhani nipo na wewe tu! Ninamarafiki kibao wa kiume ukitaka ondoka.
yani ni balaaaaaaaaaaa tupu mkuuMapenzi ya siku hizi yamebaki kwenye vitu na sio kwenye moyo.
Mwanaume anamuacha mwanamke anayempenda lakini anamfuta mwanamke mwingine kwa kigezo cha sura au umbo. Hivyo hivyo mwanamke anamwacha mwanaume anae mpenda nakumfuata mwanaume mwingine labda mwenye fedha au handsome.
Yaani siku hizi ni vururu vururu
Ladies,,incase u didn't know men are hurting machines.
Ashukuriwe mungu hakuna mwenye uwezo wa kujua yaliyo moyon mwa mwingine vinginevo dunia ingebaki tupu na wanyama tu na binadam ungekuta tushauana kwa kugundua namna mtu anavojipanga kumtapeli mwenzie kimapnz!