Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,421
- Thread starter
- #21
wakaribishwa, tena wewe ndio unapewa kipaumbeleSasa mie hukuwahi kunitongoza. Naruhusiwa kujifungulia jalada ama nisubiri mpaka ukechi mai yua eye?
wakaribishwa, tena wewe ndio unapewa kipaumbeleSasa mie hukuwahi kunitongoza. Naruhusiwa kujifungulia jalada ama nisubiri mpaka ukechi mai yua eye?
Bujibuji siku hizi hawaweki tena tego kwenye vinanihiii wanaweka kwenye mwili mzima ukimgusa tuu umegandansha meza new ngoka 11, ina fanya kazi ya kutegua tego la mgando
Jamani , nafasi bado iko wazi, naendelea kutafuta bibie wa kunienzi na kunibembeleza.
Kama ulishindwa kunikubali kipindi kilichopita usione aibu, we ni Pm tu.
Nipo kwa ajili yako
"wat is yuwa mai nemu?"
we umesahau kuwa ukitaka kula haramu chagua iliyonona?Eeeeh bhana eeeh wakiku- PM woooteeee itakuaje..?
Na wao wakasema wewe ni kwa ajili yakoo......usije kimbia....!:madgrin:
nsha kutumia bakuli lako la upendo, nasubiri msururu unaofuata
Mkuu Bujibuji you made my day yaan sina mbavu. kweli jf ni kibokooo!!!!Amesoma sana huyu King'asti maana jana nilimsikia akimuuliza mwanawe yule mkubwa "wat is yuwa mai nemu?"
Bujibuji anataka kugandana mwishoni mwa mwaka
duh balaa
Kitu ya lubisi unapata wapi huku kwa Waswahili?umetiririka kama ninavyotiririkaga nikipiga Lubisi yangu nakuwa ka siyo mtz tena!