Prof Decentman
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 276
- 140
- Thread starter
- #21
Hahaha ubarikiwe kwa huduma hii..... Ina wateja wengi sana tu
Ni wengi mno mno wanahitaji ila watu hawapo huru na hisia zao. Sasa washindwe wenyewe....
Hahaha ubarikiwe kwa huduma hii..... Ina wateja wengi sana tu
Iko namna
nina mahtaji karibia yote
inabidi isiwe bure NIKULIPE
Habari zenu wana jukwaa.
Mimi ni ME nina kazi zangu na maisha yangu hivyo sihitaji faida yoyote ya kifedha ktk hili ninalolisema. Nilifanya utafiti mdogo nikagundua kuwa watu wengi sana ni wapweke haswa haswa.
Kwa upande wangu nahitaji kuwasaidia wanawake wapweke tu wenye mahitaji yafuatayo:
1. Wale ambao wanahitaji mwanaume wa kuongea naye kimahaba na kumpa kampani sababu ya upweke mkubwa alionao.
2. Wale ambao wanahitaji mwanaume wa kuchat naye kimahaba.
3. Wale wanaohitaji massage toka kwa mwanaume.
4. Wale ambao hawajawahi kuridhishwa wala kufurahia tendo la ndoa. Hivyo wanahitaji huduma hiyo.
5. Wale ambao hawataki mahusiano ya kudumu na mtu lakini wana "ham" kama binadam wengine hivyo wanahitaji mtu karibuni.
6. Wale wanawake wanahitaji ushauri wa kimapenzi pia karibuni.
7. Wale wanaohitaji "lovely tour" like kwenda beach au mbugani etc
Huduma zoote hizo ni bure. No strings attached. Ni PM. Waweza comment chochote upendacho.
tukuite gigolo au changudoa wa kiume?
Ubarikiwe mkuu kwa moyo wako.....
Ngoja nikuje huko
Ubarikiwe mkuu kwa moyo wako.....
Ngoja nikuje huko
Okay, karibu.
Sorry, nilitaka kusema safari njema.
Karibu sana mkuu. Unajua watu wanadhihaki hawaujui ukweli. Ukweli ni kuwa wahitaji ni wengi saaaana.
Huo ni uamuzi wako mkuu. Ukipenda sawa ila mimi kama mm sihitaji pesa unachoweza kufanya ni kunipa kadi ya 'Thank You'
Hii ni kampuni au?
Maana kama u peke yako hutaweza wamudu wote
Wahitaji wengi saaaana halafu mpozaji ni wewe mmoja? Meeen,stop playing around. Na kazi zako unafanya sangapi,Leo utaenda mbugani na huyu kesho umfanyie massage yule keshokutwa umtoe hamu asiyetaka mahusiano ya kudumu..you can't be serious.
Unakatisha tamaa,kumbe sio wote watakaopata huduma hizi!!!! ungesema sasa watu wameshajipangaNitafanya msaada kwa nitakaoweza tu...
Am serious kwa walio serious tu!
Huu uwazi bado hatujauzoea kwenye jamii zetu. Wapo wengi wanatamani kuja, ila kuzuga ndio jina la mchezo.
Hahaha. I see what you're doing. But well, Decentman, you readKweli kabisa. Naomba nisaidie kumuuliza kama application bado zinapokelewa
Hahahahah it's not whatchu thinkin hun. Si unamjua yule rafiki angu vicky, ndo nilikuwa namuulizia nafasi, anaihitaji. Yale yetu yalishapita, shetani ameshindwaHahaha. I see what you're doing. But well, Decentman, you read
.