Kwa wanawake wapweke tu

Kwa wanawake wapweke tu

Habari zenu wana jukwaa.

Mimi ni ME nina kazi zangu na maisha yangu hivyo sihitaji faida yoyote ya kifedha ktk hili ninalolisema. Nilifanya utafiti mdogo nikagundua kuwa watu wengi sana ni wapweke haswa haswa.

Kwa upande wangu nahitaji kuwasaidia wanawake wapweke tu wenye mahitaji yafuatayo:

1. Wale ambao wanahitaji mwanaume wa kuongea naye kimahaba na kumpa kampani sababu ya upweke mkubwa alionao.

2. Wale ambao wanahitaji mwanaume wa kuchat naye kimahaba.

3. Wale wanaohitaji massage toka kwa mwanaume.

4. Wale ambao hawajawahi kuridhishwa wala kufurahia tendo la ndoa. Hivyo wanahitaji huduma hiyo.

5. Wale ambao hawataki mahusiano ya kudumu na mtu lakini wana "ham" kama binadam wengine hivyo wanahitaji mtu karibuni.

6. Wale wanawake wanahitaji ushauri wa kimapenzi pia karibuni.

7. Wale wanaohitaji "lovely tour" like kwenda beach au mbugani etc


Huduma zoote hizo ni bure. No strings attached. Ni PM. Waweza comment chochote upendacho.

tukuite gigolo au changudoa wa kiume?
 
Ubarikiwe mkuu kwa moyo wako.....
Ngoja nikuje huko
 
Karibu sana mkuu. Unajua watu wanadhihaki hawaujui ukweli. Ukweli ni kuwa wahitaji ni wengi saaaana.

Wahitaji wengi saaaana halafu mpozaji ni wewe mmoja? Meeen,stop playing around. Na kazi zako unafanya sangapi,Leo utaenda mbugani na huyu kesho umfanyie massage yule keshokutwa umtoe hamu asiyetaka mahusiano ya kudumu..you can't be serious.
 
Wahitaji wengi saaaana halafu mpozaji ni wewe mmoja? Meeen,stop playing around. Na kazi zako unafanya sangapi,Leo utaenda mbugani na huyu kesho umfanyie massage yule keshokutwa umtoe hamu asiyetaka mahusiano ya kudumu..you can't be serious.

Am serious kwa walio serious tu!
 
Mkuu ni watu wachache sana wenye moyo huo. Kama unamaanisha mbona utawapata wengi sana. Hongera kwa ubunifu sijui kwa nini mimi sikuwaza huo ubunifu duuuu
 
Back
Top Bottom