Kwa sayansi ndogo niliyonayo, vinasaba (genes) zimegawanyika sehemu mbili. Kuna GENOtype (genetic makeup of an organism) na PHENOtype (physical appearance of an organism). Kwa maana hiyo, mtu akizaa na mwanaume fulani au mwanamke fulani, sio lazima sura ya mwanaume/mwanamke huyo au umbile la mwanaume/mwanaume huoi lije litokee kwa mtoto huyo mzaliwa. Huenda ikaja kutokea hapo baadaye sana kwa wajukuu, vitukuu ama vilembwe. Sayansi iliyotafitiwa inatueleza hivyo na mifano ipo. Kuna familia zinazaa watoto warefu kupita kiasi ilhali wazazi ni wafupi. Kuna familia zinazaa watoto albino ilhali kwenye ukoo mzima hakuna albino, anazaliwa mtoto mtukutu kupitiliza kwenye familia yenye maadili ya hali ya juu n.k. Wengi tunaangalia wajihi (phenotype), bila kuzingatia upande mwingine wa shilingi (genotype). Suala hili la 'Sperm donation' linapaswa kuangaliwa sana na akina dada wanaopanga kutumia mbinu hiyo ya uzazi kama solution ya kupata watoto 'handsome' ama 'beautiful' 'warefu', 'shombeshombe' na sifa nyinginezo zinazoendana na wajihi wa watoto (PHENOTYPE) wanaowataka. Sperm donation nashauri itumike kwa minajili ya kupata mtoto, regardless ya mwonekano wake pale azaliwapo, kwa sababu huwezi jua huyo mzazi mwenzako kabeba nini kwenye genetics zake. Hata wazazi wetu hapo zamani walikuwa wanakataa watoto wao kuoa ama kuolewa na koo fulani fulani kwa sababu ya hizo genetics. Unakuta kuna familia zina vicha.a wengi sana, baadhi zina magonjwa ya kuhamishika kama sickle cell n.k. Ukiangalia kwa mwonekano, si rahisi kujua mambo hayo. Sayansi yangu ndogo inanielekeza hivyo, nakaribisha mjadala.
Ujumbe huu uwafikie Bujibuji, PakaJimmy, Mtambuzi, ram, madameB, Preta, Asprin na Invisible, @ab Titchaz
Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume,sasa zinapatikana hapa hapa Tanzania kwa bei nafuu. Tunazo mbegu za wanaume waaina 10 mpaka saa hizi katika stoo yetu.
Mbegu ni za ubora wa hali ya juu ambazozimethibitishwa katika maabara kwa uwezo mkubwa wa kutungisha mimba (spermcount, speed na maumbile).
Baada ya mteja kuchagua sampuli ya mbegu kutokana naaina ya mwanaume na umbile atakalopenda tunatumia njia mbili kutungisha mimbakwa mwanamke.
1. Artificial.Hii ni njia ambayo mwanamke akishachagua sampuli ya mbegu, mbegu zinawekwakwenye tube iliyo kama bomba la sindano (syringe)na mbele iko kama tube ambayomwanamke mwenyewe peke yake atalala kitandani na kujiwekea mwenyewe siku ambayomadaktari wetu watamshauri kuweka baada ya kusoma mzunguko wake wa hedhi. Hiini njia ambayo mteja atatakiwa kulipia TShs 50,000. Kama atataka kupelekewahuduma hii alipo atagharamia huduma ya usafiri wa kutoka ofisi yetu mpakaatakapotaka apewe huduma hii.
2. Natural.Hii ni njia ambayo amwanamke akishachagua picha ya aina ya mwanaume anayetakakupewa mbegu. Mawasilianao yatafanywa na wachangiaji (donor) wetu na tarehe itapangwa baada yamadaktari wetu kusoma mzunguko wa hedhi wa mteja ambapo mteja atafanya tendo landoa (sex) na mteja wetu mara 2 kwa siku 2. Njia hii ina sharti moja kubwa ambalo mteja lazima akubali kufanya vipimo vya magonjwa ya zinaa ikiwepo na ukimwi.
Kwa njia zote mbili mteja atatakiwa kujaza mkatabaambao hatatakiwa kudai madai yoyote ya gharama za matunzo ya mtoto kutoka kwetuau wachangiaji (donors) wetu isipokuwa ataweza kupewa haki (kama atapenda) yakupata taarifa za donor wake na jinsi ya kumpata kama atataka hapo baadaekumwonyesha mtoto baba yake mzazi (biological father). Mambo ya kuwekwa kwenyemkataba ni baada ya majadiliano na mteja.
Huduma hii ipo Dar es salaam na mikoani inapatikanakwa gharama maalumu. Kwa mawasiliano tuandikie email ifuatayo darfertilityclinic2013@gmail.comau niandikie Private mail (PM) hapa jamii forum halafu tutakupa namba zamawasiliano.
Kwa sayansi ndogo niliyonayo, vinasaba (genes) zimegawanyika sehemu mbili. Kuna GENOtype (genetic makeup of an organism) na PHENOtype (physical appearance of an organism). Kwa maana hiyo, mtu akizaa na mwanaume fulani au mwanamke fulani, sio lazima sura ya mwanaume/mwanamke huyo au umbile la mwanaume/mwanaume huoi lije litokee kwa mtoto huyo mzaliwa. Huenda ikaja kutokea hapo baadaye sana kwa wajukuu, vitukuu ama vilembwe. Sayansi iliyotafitiwa inatueleza hivyo na mifano ipo. Kuna familia zinazaa watoto warefu kupita kiasi ilhali wazazi ni wafupi. Kuna familia zinazaa watoto albino ilhali kwenye ukoo mzima hakuna albino, anazaliwa mtoto mtukutu kupitiliza kwenye familia yenye maadili ya hali ya juu n.k. Wengi tunaangalia wajihi (phenotype), bila kuzingatia upande mwingine wa shilingi (genotype). Suala hili la 'Sperm donation' linapaswa kuangaliwa sana na akina dada wanaopanga kutumia mbinu hiyo ya uzazi kama solution ya kupata watoto 'handsome' ama 'beautiful' 'warefu', 'shombeshombe' na sifa nyinginezo zinazoendana na wajihi wa watoto (PHENOTYPE) wanaowataka. Sperm donation nashauri itumike kwa minajili ya kupata mtoto, regardless ya mwonekano wake pale azaliwapo, kwa sababu huwezi jua huyo mzazi mwenzako kabeba nini kwenye genetics zake. Hata wazazi wetu hapo zamani walikuwa wanakataa watoto wao kuoa ama kuolewa na koo fulani fulani kwa sababu ya hizo genetics. Unakuta kuna familia zina vicha.a wengi sana, baadhi zina magonjwa ya kuhamishika kama sickle cell n.k. Ukiangalia kwa mwonekano, si rahisi kujua mambo hayo. Sayansi yangu ndogo inanielekeza hivyo, nakaribisha mjadala.
Ujumbe huu uwafikie Bujibuji, PakaJimmy, Mtambuzi, ram, madameB, Preta, Asprin na Invisible, @ab Titchaz
yaani wanaume wote tuliojaa dar hii bado uende ukatafute mtoto asiye na baba,kweli ukishangaa ya musa....
ukitumia hiyohuduma utapata baba muwajibikaji???,mimi nahisi kamamtu una shida sana ya mtotona hutaki uzae na mwanaume bora uadapt tu watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kuliko hii tena utapata thawabu juu!!wanaume wengi ila mababa wawajibikaji kwa familia zao wachache. bora hii huduma imetufikia aisee.
ukitumia hiyohuduma utapata baba muwajibikaji???,mimi nahisi kamamtu una shida sana ya mtotona hutaki uzae na mwanaume bora uadapt tu watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kuliko hii tena utapata thawabu juu!!
Mkuu Idimi, haya mambo bhana yana utaalamu wake.
Yaani we acha tu.
sasa ili kua donor unafanyaje kama ina wezekana kunijibu kwa PM basi fanya hivyoKwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume,sasa zinapatikana hapa hapa Tanzania kwa bei nafuu. Tunazo mbegu za wanaume waaina 10 mpaka saa hizi katika stoo yetu.
Mbegu ni za ubora wa hali ya juu ambazozimethibitishwa katika maabara kwa uwezo mkubwa wa kutungisha mimba (spermcount, speed na maumbile).
Baada ya mteja kuchagua sampuli ya mbegu kutokana naaina ya mwanaume na umbile atakalopenda tunatumia njia mbili kutungisha mimbakwa mwanamke.
1. Artificial.Hii ni njia ambayo mwanamke akishachagua sampuli ya mbegu, mbegu zinawekwakwenye tube iliyo kama bomba la sindano (syringe)na mbele iko kama tube ambayomwanamke mwenyewe peke yake atalala kitandani na kujiwekea mwenyewe siku ambayomadaktari wetu watamshauri kuweka baada ya kusoma mzunguko wake wa hedhi. Hiini njia ambayo mteja atatakiwa kulipia TShs 50,000. Kama atataka kupelekewahuduma hii alipo atagharamia huduma ya usafiri wa kutoka ofisi yetu mpakaatakapotaka apewe huduma hii.
2. Natural.Hii ni njia ambayo amwanamke akishachagua picha ya aina ya mwanaume anayetakakupewa mbegu. Mawasilianao yatafanywa na wachangiaji (donor) wetu na tarehe itapangwa baada yamadaktari wetu kusoma mzunguko wa hedhi wa mteja ambapo mteja atafanya tendo landoa (sex) na mteja wetu mara 2 kwa siku 2. Njia hii ina sharti moja kubwa ambalo mteja lazima akubali kufanya vipimo vya magonjwa ya zinaa ikiwepo na ukimwi.
Kwa njia zote mbili mteja atatakiwa kujaza mkatabaambao hatatakiwa kudai madai yoyote ya gharama za matunzo ya mtoto kutoka kwetuau wachangiaji (donors) wetu isipokuwa ataweza kupewa haki (kama atapenda) yakupata taarifa za donor wake na jinsi ya kumpata kama atataka hapo baadaekumwonyesha mtoto baba yake mzazi (biological father). Mambo ya kuwekwa kwenyemkataba ni baada ya majadiliano na mteja.
Huduma hii ipo Dar es salaam na mikoani inapatikanakwa gharama maalumu. Kwa mawasiliano tuandikie email ifuatayo darfertilityclinic2013@gmail.comau niandikie Private mail (PM) hapa jamii forum halafu tutakupa namba zamawasiliano.
'Mmenikunajeeee' nilitaka kufanya hii issue india ila hapo namba 2 kidogo kwangu pagumu.
Mimi nitahitaji mimba c' hitaji kufanya mapenzi na mtu