Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume (sperms donor)

Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume (sperms donor)

Joined
May 20, 2013
Posts
71
Reaction score
151
Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume,sasa zinapatikana hapa hapa Tanzania kwa bei nafuu. Tunazo mbegu za wanaume waaina 10 mpaka saa hizi katika stoo yetu.
Mbegu ni za ubora wa hali ya juu ambazozimethibitishwa katika maabara kwa uwezo mkubwa wa kutungisha mimba (spermcount, speed na maumbile).

Baada ya mteja kuchagua sampuli ya mbegu kutokana naaina ya mwanaume na umbile atakalopenda tunatumia njia mbili kutungisha mimbakwa mwanamke.

1. Artificial.Hii ni njia ambayo mwanamke akishachagua sampuli ya mbegu, mbegu zinawekwakwenye tube iliyo kama bomba la sindano (syringe)na mbele iko kama tube ambayomwanamke mwenyewe peke yake atalala kitandani na kujiwekea mwenyewe siku ambayomadaktari wetu watamshauri kuweka baada ya kusoma mzunguko wake wa hedhi. Hiini njia ambayo mteja atatakiwa kulipia TShs 50,000. Kama atataka kupelekewahuduma hii alipo atagharamia huduma ya usafiri wa kutoka ofisi yetu mpakaatakapotaka apewe huduma hii.

2. Natural.Hii ni njia ambayo amwanamke akishachagua picha ya aina ya mwanaume anayetakakupewa mbegu. Mawasilianao yatafanywa na wachangiaji (donor) wetu na tarehe itapangwa baada yamadaktari wetu kusoma mzunguko wa hedhi wa mteja ambapo mteja atafanya tendo landoa (sex) na mteja wetu mara 2 kwa siku 2. Njia hii ina sharti moja kubwa ambalo mteja lazima akubali kufanya vipimo vya magonjwa ya zinaa ikiwepo na ukimwi.

Kwa njia zote mbili mteja atatakiwa kujaza mkatabaambao hatatakiwa kudai madai yoyote ya gharama za matunzo ya mtoto kutoka kwetuau wachangiaji (donors) wetu isipokuwa ataweza kupewa haki (kama atapenda) yakupata taarifa za donor wake na jinsi ya kumpata kama atataka hapo baadaekumwonyesha mtoto baba yake mzazi (biological father). Mambo ya kuwekwa kwenyemkataba ni baada ya majadiliano na mteja.

Huduma hii ipo Dar es salaam na mikoani inapatikanakwa gharama maalumu. Kwa mawasiliano tuandikie email ifuatayo "darfertilityclinic2013@gmail.com"au niandikie Private mail (PM) hapa jamii forum halafu tutakupa namba zamawasiliano.
 
Duu, kaazi kweli kweli... Ngoja waje
 
hizo picha za hao wababa.......zinaambatana na wasifu wao wa nje na ndani au.....?....nisije nikawekewa mbegu ya tapeli au jambazi nikakoma kumfahamu........nataka nione wasifu wenye ....Dr....capt....Rev....na kuendelea.............
 
hizo picha za hao wababa.......zinaambatana na wasifu wao wa nje na ndani au.....?....nisije nikawekewa mbegu ya tapeli au jambazi nikakoma kumfahamu........nataka nione wasifu wenye ....Dr....capt....Rev....na kuendelea.............

Ha ha ha ha! Mama Preta umeua.
 
Last edited by a moderator:
Heee! Kumbe tumepiga hatua kwenye masuala ya matatizo ya uzazi...........ala! samahani nilidhani mnatoa tiba kwa wenye matatizo hayo..............
 
Kwa maana hiyo mnapingana na ule usemi "Mwanamke na mwanamume wataambatana na kuwa mwili mmoja". Yaani mnavunja uwepo wa ndoa duniani? Mungu alimfanyia Adam msaidizi, sasa je, umefika wakati wa Adamu kuishi bila msaidizi bali abinywe mbegu zake??? Mmmmh hapo mlipofikia sasa....
 
  • Thanks
Reactions: awp
Hivi kweli tuna UHABA wa mbegu za kiume kiasi hiki Tanzania? Mngekuja na tiba ya matatizo ya kutoshika mimba mngeeleweka! Mbegu ziko nyingi za kuzidi, wanaume kibao, hata kama muhitaji hataki mahusiano ya kudumu mbona wanaume wa ukweli wapo wengi tu!
 
Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume,sasa zinapatikana hapa hapa Tanzania kwa bei nafuu. Tunazo mbegu za wanaume waaina 10 mpaka saa hizi katika stoo yetu.
Mbegu ni za ubora wa hali ya juu ambazozimethibitishwa katika maabara kwa uwezo mkubwa wa kutungisha mimba (spermcount, speed na maumbile).

Baada ya mteja kuchagua sampuli ya mbegu kutokana naaina ya mwanaume na umbile atakalopenda tunatumia njia mbili kutungisha mimbakwa mwanamke.

1. Artificial.Hii ni njia ambayo mwanamke akishachagua sampuli ya mbegu, mbegu zinawekwakwenye tube iliyo kama bomba la sindano (syringe)na mbele iko kama tube ambayomwanamke mwenyewe peke yake atalala kitandani na kujiwekea mwenyewe siku ambayomadaktari wetu watamshauri kuweka baada ya kusoma mzunguko wake wa hedhi. Hiini njia ambayo mteja atatakiwa kulipia TShs 50,000. Kama atataka kupelekewahuduma hii alipo atagharamia huduma ya usafiri wa kutoka ofisi yetu mpakaatakapotaka apewe huduma hii.

2. Natural.Hii ni njia ambayo amwanamke akishachagua picha ya aina ya mwanaume anayetakakupewa mbegu. Mawasilianao yatafanywa na wachangiaji (donor) wetu na tarehe itapangwa baada yamadaktari wetu kusoma mzunguko wa hedhi wa mteja ambapo mteja atafanya tendo landoa (sex) na mteja wetu mara 2 kwa siku 2. Njia hii ina sharti moja kubwa ambalo mteja lazima akubali kufanya vipimo vya magonjwa ya zinaa ikiwepo na ukimwi.

Kwa njia zote mbili mteja atatakiwa kujaza mkatabaambao hatatakiwa kudai madai yoyote ya gharama za matunzo ya mtoto kutoka kwetuau wachangiaji (donors) wetu isipokuwa ataweza kupewa haki (kama atapenda) yakupata taarifa za donor wake na jinsi ya kumpata kama atataka hapo baadaekumwonyesha mtoto baba yake mzazi (biological father). Mambo ya kuwekwa kwenyemkataba ni baada ya majadiliano na mteja.

Huduma hii ipo Dar es salaam na mikoani inapatikanakwa gharama maalumu. Kwa mawasiliano tuandikie email ifuatayo “darfertilityclinic2013@gmail.com”au niandikie Private mail (PM) hapa jamii forum halafu tutakupa namba zamawasiliano.

Ngoja niwaite .
CC Evelyn Salt, Madame B, Passion Lady
 
Last edited by a moderator:
Je naweza kupata mbegu toka nje ya Tz kama vile US?
 
huu uasherati wako hautufai watz kwa sasa, inakuwaje mwanamke aje na kumchagua mwanaume wa kulala na kuzaa naye, kuweni na mawazo ya maana na siyo uzinifu wenu huu.
 
huu uasherati wako hautufai watz kwa sasa, inakuwaje mwanamke aje na kumchagua mwanaume wa kulala na kuzaa naye, kuweni na mawazo ya maana na siyo uzinifu wenu huu.

yaan hofu juu ya Mungu imetoweka kabisa
 
hiki kitu nilivyosikia mwanzo nikajua porojo, jamani nasikia ni kweli tena mitaa ya mikocheni au masaki hiyo kazi inafanyika. eee Mungu naomba utuhurumie
 
hizo picha za hao wababa.......zinaambatana na wasifu wao wa nje na ndani au.....?....nisije nikawekewa mbegu ya tapeli au jambazi nikakoma kumfahamu........nataka nione wasifu wenye ....Dr....capt....Rev....na kuendelea.............

Mimi ni Mvuvi, Unaonaje profession yangu? or sorry, Mbegu zangu zitakufaa?
 
Astaghafirullah dunia hadaa!!!
 
hizo picha za hao wababa.......zinaambatana na wasifu wao wa nje na ndani au.....?....nisije nikawekewa mbegu ya tapeli au jambazi nikakoma kumfahamu........nataka nione wasifu wenye ....Dr....capt....Rev....na kuendelea.............

Relax mpenzi, hawa jamaa wameamua tu kuanzisha danguro la wanaume wanaojiuza anaona aibu kusema ni danguro la wanaume.
 
watu tupo ktk project ya kureduce population growth we unaongeza,ama ndo ile ishu ya kupandikiza rang nyeupe nchni
 
Back
Top Bottom